Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,393
Tangu nifike huku Zanzibar jana, nimekuwa na bahati ya kukutana na mitetea wengi, natamani nijitwalie japo mtetea mmoja kwa ajili ya maandalizi ya kupikiwa futari wakati wa mwezi mtukufu............. LOL
Ngoja nile kwa macho mie maana sijui kama nitasalimike Mtambuzi mie.
Wana JF mlioko Zanzibar naomba tutafutane, mie niko Mji Mkongwe
Hii maneno asije akaiona mama Ngina na wanae King'asti na Cantalisia na wajukuu zangu TaiJike, mbalu na Asnam maana najua kitanuka...................
Ngoja nile kwa macho mie maana sijui kama nitasalimike Mtambuzi mie.
Wana JF mlioko Zanzibar naomba tutafutane, mie niko Mji Mkongwe
Hii maneno asije akaiona mama Ngina na wanae King'asti na Cantalisia na wajukuu zangu TaiJike, mbalu na Asnam maana najua kitanuka...................