Duh hii kali

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Jamaa kamaind demu bar!
Demu kaenda uani na jamaa kamfuata na kukaa mlangoni akimsubiri msalani
Demu katoka na kukuta jamaa amesimama hapo mlangoni
Kamuulizi vp mbona upo hapa
Jamaa akajibu " Nimezimia harufu ya haja kubwa aliyokua akiitoa"
Hivi haya ni mapenzi au ufedhuli?
 
Siamfungie kwenye kiberiti atembee nacho hicho kinyesi cha mpenzi wake??
 
Hapa umetupiga changa la macho sababu alimpenda akiwa hajakwenda msalani sasa hiyo harufu aliijuaje wakati yeye alitoka kumfuata huko ili aongee nae? Hapo alipoulizwa kulikoni akawa domo zege kashindwa kumwaga sera ikabidi achomee hiyo habari ya harufu ya kinyesi we hakuna cha harufu bwana aaahhhh wewe taratibu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom