Imenikumbusha story ya party ya watu wenye vipara,getini yupo baunsa kipofu.Anawatambua waalikwa kwa kuwapapasa vichwa. Getcrashers kadhaa wakaamua kwa namna yoyote ile lazima waingie,wakawa wanashusha suruali na kumgeuzia makalio baunsa ili apapase. Baunsa akasema "haya piteni,naona sasa mnakuja wawili wawili".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.