Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,173 3,345 Jun 20, 2011 #3 View attachment 32368 Kidole hicho ndicho kinachokutisha?
KIMBURU JF-Expert Member Jan 12, 2011 210 189 Jun 21, 2011 #4 Hapo anamwambia "kidole kimoja hakivunji chawa"
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,720 Jun 21, 2011 #5 AnamwimbiA wimbo wa zamani: -Gumba akasema, ni saa ya kulala, -Shahada kajibu mbona mi sijala -Chakati kasema twende tukaibe!
AnamwimbiA wimbo wa zamani: -Gumba akasema, ni saa ya kulala, -Shahada kajibu mbona mi sijala -Chakati kasema twende tukaibe!
M mwacheni77 JF-Expert Member Apr 11, 2011 763 209 Jun 21, 2011 #6 Anamwambia unatakiwa ucheze nyuma ya mtu