EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
kama mnataka kusikia Tanzia hapa, mdanganye Amy ajaribu hicho kitu.
Uzuri niko naye hapa, leo hatoki hata maliwatoni namfuata.
Atatoka kesho.
kama mnataka kusikia Tanzia hapa, mdanganye Amy ajaribu hicho kitu.
Uzuri niko naye hapa, leo hatoki hata maliwatoni namfuata.
namwambia Mwali asilipie yule nanii.
Kanusha hii sentenzi, otherwise I will have to chain him.
he he bado ipo?
Kama ipo, ngoja na mie nimnunulie Amyner.
ndo maana Mwali kapotea, asije kuwa kaenda kujitundika
kwa nini hukumuuzia yeye hata kwa upendeleo?
Upendeleo gani? Nilisema tokea mwanzo kabisa kuwa all offers would be considered equally with the most attractive offer being accepted. Hers was not the most attractive. Kama kaenda kujitundika shauri yake. Strictly no FWB.
Mmh, ngoja aje nione kama utakuwa unatamba hivi.
Labda jaribuni 'nsa'
nasikia inalipa kuliko dhahabu.
Swali la kizushi, nani alishinda?
hapa nahitaji loya wa jei efu kolo ainvestigate.
Kuna kila dalili ya radar, EPA au richmond.
sina hakika kama nyaraka zote zitakuwa sahihi.
Nitazipima DNA hizo nyaraka.
Mwali hawezi shindwa kirahisi hivi.