sijuikitu
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 286
- 12
CUF chama kinachounda Serikali ni wao, na chama kinachounda upinzani ni wao pia.
Kuna chama kingine chochote duniani ambacho kipo kotekote, serikalini na upinzani?
kweli hii nchi ni FUMBO......DOWANS ni FUMBO, UCHAGUZI 2010 ni FUMBO, Muungano ni FUMBO.....hata mgao wa umeme unaonendelea sasa ni FUMBO pia.
Kuna chama kingine chochote duniani ambacho kipo kotekote, serikalini na upinzani?
kweli hii nchi ni FUMBO......DOWANS ni FUMBO, UCHAGUZI 2010 ni FUMBO, Muungano ni FUMBO.....hata mgao wa umeme unaonendelea sasa ni FUMBO pia.