Huyu naona anataka Bajaji Third Hand!Are you looking for dilapidated one? Surely 4.5m can't buy you a good one!
Nini hiyo...Bajaji, Duet, Vitz au Starlet?Angekuwa na 5.5m ningemwachia yangu...B registration
Nini hiyo...Bajaji, Duet, Vitz au Starlet?
Natafuta duet, vitz au starlet, bei isizidi 4.5m.
Namba yangu
0717960200
Aisee hiyo makitu kuna mtu alinambia spare zake ni aghali kama za benzi, ni kweli mkuu? Na availability?Duet......
Aisee hiyo makitu kuna mtu alinambia spare zake ni aghali kama za benzi, ni kweli mkuu? Na availability?
Ziko wapi mkuu? Na toyota Model gani?Inategemea na model the more latest the more expensive.....ila kwa wese utasahau gharama za spares....halafu ziko DIAHTSU na TOYOTA
Ziko wapi mkuu? Na toyota Model gani?
Mie nauza Subaru Forester ya mwaka 2004
sababu ya kuuza na hama nchi maisha yamekuwa magumu nahama nchi
kama unataka ni PM, ni gari nzuri saana ulaji wa mafuta ni mzuri saana
Mkuu sio fresh kuwaingiza mkenge watu,subaru forester ni gari bomu kuliko gari zote ni bomu zaidi ya CRV honda,siwashauri kununua hayo magari yani mda wowote unalipaki na linageuka banda la kuku,labda mshamba wa gari ndio atanunua......ngumu kumesa
Mie nauza Subaru Forester ya mwaka 2004
sababu ya kuuza na hama nchi maisha yamekuwa magumu nahama nchi
kama unataka ni PM, ni gari nzuri saana ulaji wa mafuta ni mzuri saana
Mie nauza Subaru Forester ya mwaka 2004
sababu ya kuuza na hama nchi maisha yamekuwa magumu nahama nchi
kama unataka ni PM, ni gari nzuri saana ulaji wa mafuta ni mzuri saana
Mie nauza Subaru Forester ya mwaka 2004
sababu ya kuuza na hama nchi maisha yamekuwa magumu nahama nchi
kama unataka ni PM, ni gari nzuri saana ulaji wa mafuta ni mzuri saana
More information please na picha kama zipo!
Sent from my iPhone using JamiiForums app