ambayo inatokana na matumizi mazuri ya rasiliamli na mipango thabiti pamoja na utekelezaji ulioukua commited.jeuri ya mshiko
Hata mbuyu ulianza kama mchicha tujipe moyo!!
Mwarabu hana chuki? Hivi upo dunia gani weyeHawa watu wanaendelea sababu hawana choyo au chuki. Pamoja na kua na utajiri wao bado wanakaribisha wawekezji kutoka pande zote duniani kuja nchini kwao na kufungua miradi na hapo wote wanafaidika.
..Mtakalia hayo hayo....wenzenu wanafanya mambo ya uhakika nyie mnaishi kwa matumaini tu yasiyotekelezeka!!!Hata mbuyu ulianza kama mchicha tujipe moyo!!