Hahahah...lol!Mtu mwenyewe Mbaaaaayaaaaa umekaaa kizandizandiki...
hongera sana...kama kidume kiite rejao!!
binadamu sku hizi wanatotoa.!? Hii ni "brand new"
flora ,
kwa hili la mtoto yupi moreprofitable tumekunyamazia si kama tumekosa majibu,
laa !
Ni kutokana na hali yako kwa sasa.
Kajifungue kwanza , then hilo liandalie uzi wake mbona majibu lukuki ? Ukitaka ya yaje kwa chururu utayapata , ukitaka kwa ndondondo yatakudondokea .
sala zangu tusker bariiiidi!!! Zi kwako ukipata mtoto wa kike umuite regia
mtu mwenyewe mbaaaaayaaaaa umekaaa kizandizandiki...
dah! Kila la kheri 2nakasubiri ka beby hako kaje kusikia duniani kuna watu wanaitwa kikwete,slaa,mbowe,zitto na wa2 wabishi kama rejao na maralia sugu!
mungu akutangulie flora!!mie ntakuombea umalize hiyo safari salama!!
"stahili salama".
Mungu akujalie safari njema, utotoe salama usalimini na urejee salama.
Wajomba tupo tutasaidiana ulezi.