Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Mh. Anna Makinda anaposoma dua kabla ya kikao cha Bunge huwa anaamini anachosoma?
Kwa uelewa wangu anachofanya ni kusoma dua na sio kusali/kuswali. Kunatofauti kati ya kusoma dua na kusali/kuswali.
Hayo yote yanayotajwa kwenye dua yanabaki ni maneno tu na sio sala. Kwa yanayotokea bungeni sioni hiyo dua inasaidiaje!
Wabunge wangeweza kabisa kujadiliana kwa meseji za simu kuliko kukaa bungeni. Badala ya kutumia gharama kubwa ni bora wabunge wapewe hela ya vocha watumiane meseji maamuzi yafikiwe. Afterall, mengi yameshaamuliwa. Wananchi watafanya maamuzi yao tofauti mapema tu!
Dharau, kutokujali, kujisahau, kujiamini, kujivuna, ubinafsi, ujinga, kutokujua, kutokuelewa, uwezo mdogo, upumbavu, uvivu, uduanzi, uzuzu, uzee (kwa baadhi) ni sababu za jumla na pamoja zinazotupeleka kwenye BUNGE LA WANANCHI.
Kwa uelewa wangu anachofanya ni kusoma dua na sio kusali/kuswali. Kunatofauti kati ya kusoma dua na kusali/kuswali.
Hayo yote yanayotajwa kwenye dua yanabaki ni maneno tu na sio sala. Kwa yanayotokea bungeni sioni hiyo dua inasaidiaje!
Wabunge wangeweza kabisa kujadiliana kwa meseji za simu kuliko kukaa bungeni. Badala ya kutumia gharama kubwa ni bora wabunge wapewe hela ya vocha watumiane meseji maamuzi yafikiwe. Afterall, mengi yameshaamuliwa. Wananchi watafanya maamuzi yao tofauti mapema tu!
Dharau, kutokujali, kujisahau, kujiamini, kujivuna, ubinafsi, ujinga, kutokujua, kutokuelewa, uwezo mdogo, upumbavu, uvivu, uduanzi, uzuzu, uzee (kwa baadhi) ni sababu za jumla na pamoja zinazotupeleka kwenye BUNGE LA WANANCHI.