Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,444
Ndugu zanguni ni kweli pesa ina mvuto wa Mapenzi mpaka ikafikia kipindi mtu ukavutiwa kimapenzi na mtu flani kwa sababu ana pesa? Ni kweli pesa ni moja ya chambo katika mapenzi?

Pesa unaweza ukaitumia kuvuta wapenzi wengi na wakakubali kutokana na pesa yako?
Ni kweli pesa ina mvuto katika penzi kuliko upendo wa moyoni?

Angalia pedeshee huyu hapa chini anavyotumia pesa yake katika mapenzi, huyu jamaa tunaweza kusema aliwadhalilisha hawa mabinti kwa kuwachezea ndimi na kila aina ya uchafu kutokana na njaa zao ya pesa walikubali huku wakikata kilaji.

Wanawake kweli mnakubali kufanyiwa hivi? Angalia warembo walivyo wazuri hao.

1239863219_uchafu.jpg

Pedeshee Pius Rutta 'Mzee wa Pamba' akibonyeza totoz Msasani Beach club.

1239860862_amanifrontpage.jpg


Hapo Pedeshee akionekana katika malavidavi.
Kama watu wanapenda sababu ya Uzuri wa mtu, au Personality ya mtu, Kwanini mwingine asipende sababu ya pesa za mtu

Utasikia watu wanasema "thats not true love anampendea pesa zake".., au "Siku hizi hakuna mapenzi ni pesa tu"...., yeah, kama anampendea pesa zake whats wrong with that, je kuna utofauti wa wewe unayempendea sura yake...?

My Take on This ni kwamba kila mtu anazo priority zake na kama wapo wanaopenda zaidi pesa its okay na community isiwaangalie kama "Gold Diggers" kama wanampa mtu mwenye pesa furaha.., I think its a fair trade....

Money, Looks, Personality, Ucheshi, Powerfullness, they are all features and if they attract someone who are we to say that is true love or not....?
Utatu huu kwanini unakuwaga na utata? Haijalishi kabila, taifa wala rangi.

Inakuwaje watu wanapopenda na ikatokea hivi vitu vitatu vipo basi maneno hayaishi?

Someni hii habari hapo chini mtaona nina maana gani. Kwani mara ngapi tumeona, kusikia au kusoma watu kama hawa wenye umr mkubwa kuoana lakini maadam hakuna hivyo vigezo vitatu kwa pamoja basi maneno hata kama yapo ni ya kichinichini zaidi.

Ukiwa na mali/pesa utaandamwa wee! Je watu wajifukarishe ndipo waaminike kuwa wanapendana kweli?

Maria del Rosario Cayetana Alfonsa Victoria Eugenia Francisca Fitz-James Stuart y de Silva (yes, that's one name) is one of the wealthiest women in all of Spain. She is worth somewhere between $850 million and $5 billion--but not for long. The Duchess of Alba, 85, is giving it all away so she can marry the man she loves. This sounds like a plot to the latest Nicholas Sparks novel, but we assure you, this is nonfiction to the core. So, why is she giving her vast fortune away? The duchess's six children were dubious about their mother's plans to marry Alfonso Diez, a civil servant who is 24 years younger.

To help assuage their fears that the love may not be genuine, the duchess is going to give her fortune to her children. According to an article from the BBC, the duchess's six children had been against the wedding. Earlier this year, the duchess remarked, "Alfonso doesn't want anything. All he wants is me."

Not surprisingly, news of the impending wedding sparked a flurry of web searches. Online lookups for "duchess marries" and "spain duchess fortune" were both incredibly popular, as computer users have sought the scoop on the unlikely love story.

The duchess's children were all from her first marriage to Pedro Luis Martinez de Irujo y Artazcoz, son of the Duke of Sotomayor. He died in 1972. The duchess remarried in 1978 to a onetime Jesuit priest named Jesus Aguirre y Ortiz de Zarate. He passed away in 2001. The duchess has been friends with Diez for several years. In fact, there were rumors of a wedding in 2008, but nothing occurred after the children "vetoed" the idea of marriage.

No word on whether the duchess's children and grandchildren intend to be on hand for the ceremony. She likes to point out that each of her kids is divorced, even though she has never split up with any of her husbands. According to the UK Guardian, the duchess has given her children and eight grandchildren "a palace each." That ought to keep them quiet.

Hivi ndoa ni nini?

Nimekutana na stori moja ya jamaa zangu mke na mume ambao hawakubahatika kufika Kanisni kufunga ndoa lakini wemeishi kwa miaka isiyo pungua 7 na wana watoto wawili. Katika kipindi chote hicho wazazi wa pande mbili walisha tambuana na kiasi cha mahali kilisha tolewa.

Tukirudi nyuma wawili hao kama mahusiano mengi ya ki Africa yalivyo mume alikua mkubwa na alianza kujitegemea muda mrefu huku mke akiwa bado shuleni, hivyo mahitaji madogo madogo mume wakati huo boy friend aliwajibika kutimiza kwa mwenzake. Miaka ika enda shule ikaisha, mwanamke aka ajiriwa lakini walisha amua kuishi pamoja kama mke na mume na sasa wana watoto.

Ajira ya mke ilikua mkoa wa Mbeya wakati mume akiwa Dar es Salaam, mume aka fanya jitihada za kumuhamisha na waka ishi pamoja, ikumbukwe kua licha ya umbali wa awali wote walitambulika mke na mume licha ya kuto kwenda kifunga ndoa Kanisani.

Katika safari ya miaka hiyo 7 kume kua na changamoto nyingi kama mahusiano mengi yalivyo. Lakini baada ya kufanikiwa uhamisho na kauanza mikakati ya kimaisha kwa pamoja mke akawa ana goma kuchangia katika maendeleo ya familia akidai kwamba hawezi changia chochote kwa kua hakuna ndoa, hajitambui yeye ni nani katika maisha Yale? Ikumbukwe kua mume alimtumikia mke kipindi chote cha mahusiano akiwa shule na hata baada ya kuanza kazi na hata kukamilisha hatua za utambulisho kifamilia ( mahari) na hata uhamisho kama mjuavyo uhamisho ulivyo mgumu.

Lakini sasa mke anasema yeye hawezi changia chochote kwa kua hajijui kua yeye ni nani katika familia hiyo. Na kwa taarifa zaidi kwamba alisha aza kununua vitu kimya kimya kama vile viwanja bila hata kumpa taarifa mwenzake. Lakini wakati hayo yanafanyika mume alisha kua na vijimali ambavyo kwa asilimia 100% ame muhusisha kwa ushauri au hata kumtaarifu katika kuvitafuta vitu hivyo kitu ambacho tunaweza kuita jamaa amekua muwazi hasa kwa mwenzake.

Katika kuepusha migogoro hiyo jamaa alisha changia ununuzi wa vitu fulani kwa jina la mkewe ili kumjenga kiimani mkewe lakini bado mke hawezi changia kitu cha kimaendeleo kama familia kama maelezo ya awali.

Mume aka endelea na kupambana, siku za karibuni aka kutana na mtu naweza sema mdada wa makamo ambaye nae ame kua akitaka mwenza wa kupambana nae kimaisha bila kujali utofauti wa vipato. Mwanamke huyo ni mdada anae jiweza kwa kweli, alicho vutiwa ni jitihada za mshikaji ingawa kipato chake ni kidogo.

Sasa mshikaji kaleta hoja aki hitaji msaada wa mawazo je akubali offer ya mdada huyu ( shemeji yetu) au avumilie na kutekeleza takwa la kufunga ndoa la Mke wake a.k.a mzazi mwenzie?

Mwaga ushauri mdau maana mdada hahitaji hata ndoa anacho hitaji ni upendo wa kweli na uwepo wa mwaname katika maisha yake ili wasukume gurudumu pamoja...
 
Wanasema hapendwi mtu mkwanja tu ndo unaopendwa duh kwa hali hii basi ndoa nyingi ni za kisanii mtu akifilisika au kufukuzwa kazi hana pesa basi wajanja wataanza kukubebea wife wako....
 
Wanasema hapendwi mtu mkwanja tu ndo unaopendwa duh kwa hali hii basi ndoa nyingi ni za kisanii mtu akifilisika au kufukuzwa kazi hana pesa basi wajanja wataanza kukubebea wife wako....

Kwa kweli Fidel kwa ndoa ambazo hazina mapenzi ya kweli ni utata tu. Huyu alogundua pesa na alaaniwe.
 
Kwa kweli Fidel kwa ndoa ambazo hazina mapenzi ya kweli ni utata tu. Huyu alogundua pesa na alaaniwe.

Bila pesa Mwana huwezi ng'aa lazima mtoto upigwe soap soap ung'ae upelekwe pale Game uchague viwalo shopping ya kufa mtu utamtosa kweli Masanilo hapo bado hajakupeleka show room uchague Vogue mmeo haki ya nani unamsahau...teh teh teh
 
Tamaa ooh nimekupenda ooh nini kumbe umependa kabaloon kake wanawake bana mi nachoka sana nasisitiza hit and run ndo njia pekee angalia hao wasichana wote wanampenda jamaa


hujafikishwa kigoma mwisho wa reli Fidel, mwenyewe utabembeleza ndoa!
 
Fide acha kitu pesa mwana! Ni balaa. Asilimia kubwa ya ndoa zetu za sasa zinaendeshwa na fweza. Mtu anayedai feza sio kila kitu ni mwongo. Muulizeni hata Mwanajamiione atakwambia jinsi jamaa anavyoipenda salary slip yake!
 
Ni ukweli usiopingika kwamba mapenzi ya kweli yapo,lakini pia pesa ina nafasi yake katika mapenzi.Pesa ina nafasi gani katika mapenzi,differs from person to person,na hapa wapo watakao sema kwamba pesa haina nafasi kabisa kwao katika suala la mapenzi,who knows they might be telling the truth.
 
Tamaa ooh nimekupenda ooh nini kumbe umependa kabaloon kake wanawake bana mi nachoka sana nasisitiza hit and run ndo njia pekee angalia hao wasichana wote wanampenda jamaa

Yaani nakwambia ndio maana nikawa nasema itabidi tufanye tafiti juu ya nafasi ya pesa katika mapenzi (kiumweliukweli) kwa sababu hali inatisha kana inafikia hatua wanawake tunakubali kuchanganywa mpaka watatu wanne kisa bwana ana pesa basi ukimwi hautakaa uishe.
 
hujafikishwa kigoma mwisho wa reli Fidel, mwenyewe utabembeleza ndoa!

Kule vipo vitu navyo taka mimi umbo namba 8 weweeee balaa mi kama kawaida yangu siwezi nikafia kwenye kidonda kama Movin pick toto lalipeleka lakini na hit na kurun siwezi nikatangaza ndoa najua ananichuna tu tupo wengi.
 
Fide acha kitu pesa mwana! Ni balaa. Asilimia kubwa ya ndoa zetu za sasa zinaendeshwa na fweza. Mtu anayedai feza sio kila kitu ni mwongo. Muulizeni hata Mwanajamiione atakwambia jinsi jamaa anavyoipenda salary slip yake!

Na nadhani dhana ya wanawake wanapenda wenye pesa imebadilika sasa kwani hata wanaume nao wanapenda ila tu wao wana stara huweziwapanga kama wanataka kulipia Luku.
 
Na nadhani dhana ya wanawake wanapenda wenye pesa imebadilika sasa kwani hata wanaume nao wanapenda ila tu wao wana stara huweziwapanga kama wanataka kulipia Luku.

Mi naona ni umaskini unachangia kama yule dada wa Denish ambaye kuna mwarabu ana mtaka anaomba ushauri...watu tunapenda maisha mazuri kuliko kipato chetu ndo tatizo hapo lilipo ndo maana wengi wanadondokea kupangwa kama wananunua umeme wa luku au wanachukua pesa kwenye ATM.
 
tatizo kwa kiasi kikubwa linachangiwa na hao wanaotanguliza pesa ili kukonga mioyo ya wanawake.Utashangaa mtu anajua kabisa kwamba mwanamke huyo hana hata shida ya hela lakini atajifaragua kujionyesha anazo kwa kutoa ofa za hapa na pale.Kuna thread moja hapa inayozungumzia " unatongozaje" kuna wachangiaji wameshauri kuwa mwaga pesa tu utampata mwanamke!
Ila tukirudi kwenye mada, asikudanganye mtu, pesa inasaidia kurutubisha penzi.Ukiwa huna pesa penzi hilo litafifia upesi sana maana mtafurahia nini bila pesa? unahitaji kutoka kwenda matembezi ( outing), mpeane zawadi, na mambo mengine mengi tu.Ila sishauri mwanaume kumpa mwanamke pesa kwa mtindo wa "kuhonga" au kila mara kutaka yeye tu ndiyo alipie gharama za mapenzi.
 
Ah wapi,,, nao wanapangwa tu,,, ukijipendekeza kabla ya muda ulioambiwa uje unatimuliwa tu. Money talks kila mahali. Na ukizingatia hawa vijana wetu hawana kazi, akibahatika kupewa hako katenda ka kumfurahisha jimama basi hata wawe kumi wao hawajali.
 
tatizo kwa kiasi kikubwa linachangiwa na hao wanaotanguliza pesa ili kukonga mioyo ya wanawake.Utashangaa mtu anajua kabisa kwamba mwanamke huyo hana hata shida ya hela lakini atajifaragua kujionyesha anazo kwa kutoa ofa za hapa na pale.Kuna thread moja hapa inayozungumzia " unatongozaje" kuna wachangiaji wameshauri kuwa mwaga pesa tu utampata mwanamke!
Ila tukirudi kwenye mada, asikudanganye mtu, pesa inasaidia kurutubisha penzi.Ukiwa huna pesa penzi hilo litafifia upesi sana maana mtafurahia nini bila pesa? unahitaji kutoka kwenda matembezi ( outing), mpeane zawadi, na mambo mengine mengi tu.Ila sishauri mwanaume kumpa mwanamke pesa kwa mtindo wa "kuhonga" au kila mara kutaka yeye tu ndiyo alipie gharama za mapenzi.


Naona WOS tunaweza tukaunganisha na ile ya mzizi kwa asiye na pesa yeye atatumia kimzizi kumpata mwanamke lakini mwenye pesa yeye atamwaga pesa papu jamaa siku ya kwanza hakuna hata mazungumzo anampiga mwanamke na Laki tano weweeeeeeee utazima fegi hata swala la sijui atakuwa na UKIMWI hilo halipo kabisa.
 
tatizo kwa kiasi kikubwa linachangiwa na hao wanaotanguliza pesa ili kukonga mioyo ya wanawake.Utashangaa mtu anajua kabisa kwamba mwanamke huyo hana hata shida ya hela lakini atajifaragua kujionyesha anazo kwa kutoa ofa za hapa na pale.Kuna thread moja hapa inayozungumzia " unatongozaje" kuna wachangiaji wameshauri kuwa mwaga pesa tu utampata mwanamke!
Ila tukirudi kwenye mada, asikudanganye mtu, pesa inasaidia kurutubisha penzi.Ukiwa huna pesa penzi hilo litafifia upesi sana maana mtafurahia nini bila pesa? unahitaji kutoka kwenda matembezi ( outing), mpeane zawadi, na mambo mengine mengi tu.Ila sishauri mwanaume kumpa mwanamke pesa kwa mtindo wa "kuhonga" au kila mara kutaka yeye tu ndiyo alipie gharama za mapenzi.

Miye nnaogopa penzi la mkopo. Tukimalizana tu nakupa chako,,, tusijuane. Unikopeshe penzi ili uje uchukue nyingi zaidi. No nooooooooooo, hapana!
 
Mi naona ni umaskini unachangia kama yule dada wa Denish ambaye kuna mwarabu ana mtaka anaomba ushauri...watu tunapenda maisha mazuri kuliko kipato chetu ndo tatizo hapo lilipo ndo maana wengi wanadondokea kupangwa kama wananunua umeme wa luku au wanachukua pesa kwenye ATM.

Mimi huwa nahisi kuwa wale wanaoishi maisha ya chmi vijijini huwa wana maisha mazuri ya kindoa than walioko mjini au huwa nakosea? Kuna wakati huwa natamani kama ningekuwa huko katika hali hiyo yaani nisiwe na ufahamu wa mambo ya pesa kwa kiasi hiki cha kimjini ningekuwa na raha sana.
 
Back
Top Bottom