Wakuu jana nilikuwa Tengeru mnadani, jioni CDM kilifanya mkutano wa kampeni pale mgombea hakuwepo waliokuwepo ni Waitara, msigwa, Kiwelu. Sikuelewa umati unawezaje kujaa namna hiyo mahali ambapo mgombea hayupo. Habari zilizopatikana zinasema wabunge wa CDM wanaofanya kampeni bila mgombea wako makundi matatu. Hongereni Peoples power.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.