selopheady
Member
- Nov 29, 2011
- 27
- 2
Mie nimeshidwa kuelewa kuhusu airtel money.Nilitumiwa sh.19,000 kwenye lain yangu ambayo ilikua ya zamani haina sehemu ya airtel money.Hivyo ikabidi kutengeneza lain nyingine yenye sehemu ya airtel money namba zilezile cha ajabu baada ya kuangalia salio langu nakuta sh.800 ambavyo sijawahi kuweka pesa. Na vilevile zile pesa nilizotumiwa hazionekani kila nikiwapigia wanatoa visingizio vya mtandao unasumbua yapata mwezi na siku kadhaa sasa.HEBU WANA JF nipeni ushairi au wazo.