Tidito L
Member
- Jan 23, 2011
- 97
- 16
Nimekaa nimewaza huyu rais wetu kweli anapata usingizi kweli? Maana kila kukicha matatizo hii nchi yanazidi kuongezeka.
Na kanuni yake aongei chochote kwanza anasubilia muongee alafu anakuja kuwapa mabango kuwa hoo, "akutukanae akuchagulii tusi"
sasa si bora ang'oke kama anaona anashindwa kazi.
Mambo gani haya bana.?
Na kanuni yake aongei chochote kwanza anasubilia muongee alafu anakuja kuwapa mabango kuwa hoo, "akutukanae akuchagulii tusi"
sasa si bora ang'oke kama anaona anashindwa kazi.
Mambo gani haya bana.?