DSTV wanalipa Kodi?

Babu Ubwete

Senior Member
Jan 26, 2008
169
29
Naomba Kusaidiwa hawa watu ukatwaji kodi wao uko vipi na ukokotoaji wa kodi ukoje kwani ni moja ya kampuni za mkaburu zinazoingiza pesa nyingi sana kutoka Tanzania. Ukienda kulipia ankara yako unapatiwa risiti haina VAT wala TIN number hii kisheria inasimamaje maana nilidhani ni lazima kwa sasa bongo kila unapolipa fedha lazima upewe risiti yenye kuonyesha VAT na TIN number. Kuna Kijana mmoja Mtemi Shambwe aliwahi kuhusishwa na wizi wa milioni kadhaa pale DSTV na somebody Gumbo miaka ya 2002 . Hivi nivyanzo vya kodi vinavyoachwa .
 
sasa kodi na wizi wa wafanyakazi wapi na wapi?. Kuhusu kodi hasa vat jamaa hawatoi ankara za kodi. Hata mashine zilizopitishwa na tra hawazitumii! Kwanza bei zao ziko kwenye dola kitu ambacho serikali ilishakataza. Halaf exchange rate yao wanaijua wenyewe, tofauti kabisa na bot au market rates, yao iko juu.
 
I like this, very true Kibuku asili umezungumza ...kwenye exchange rate ni kweli wanaijua wao tu damn!!!! XXX#$@
 
Ndiyo Bongo hiyo. Shamba la bibi. Mzungu anaingia na dola moja anaondoka na milioni.
 
Naomba Kusaidiwa hawa watu ukatwaji kodi wao uko vipi na ukokotoaji wa kodi ukoje kwani ni moja ya kampuni za mkaburu zinazoingiza pesa nyingi sana kutoka Tanzania. Ukienda kulipia ankara yako unapatiwa risiti haina VAT wala TIN number hii kisheria inasimamaje maana nilidhani ni lazima kwa sasa bongo kila unapolipa fedha lazima upewe risiti yenye kuonyesha VAT na TIN number. Kuna Kijana mmoja Mtemi Shambwe aliwahi kuhusishwa na wizi wa milioni kadhaa pale DSTV na somebody Gumbo miaka ya 2002 . Hivi nivyanzo vya kodi vinavyoachwa .

Tatizo hapa si mamlaka ya kodi TRA kushindwa kusimamia kodi bali watungaji washeria za nchi. Naomba kidogo nitoe uelewa wangu jinsi DSTV wanavyooperate in Tanzania na jinsi sheria zilivyokuwa na loopholes. DSTV wao wanatoa huduma kupitia digital systems ambazo zinasource matangazo toka South Africa and so nchini hapa wameweka mitambo inapokea matangazo ambapo hapo kampuni inayomiliki hiyo mitambo ni SUBSIDIARY wao ambayo ipo located along Ali Hasan Mwinyi Rd.

Ulipaji wa ankara za matumizi MTANZANIA anapofanya hua unalipwa moja kwa moja kwenye account ya Kampuni mama ambayo ina offshore accounts in Tanzania, na baada ya mwezi pesa hizo zinakuwa transfered to Accounts zao in South Africa na kuacha only 1% kwenye its subsidiary as commission for use of mitambo iliyokuwa located Tanzania.

Subsidiary wanapoicharge Parent Company hapo ndipo wanaweka VAT, wakati mteja wewe unakuwa billed na Parent Kampani moja kwa moja. Kuwa billed na parent kampani kwa sheria ya VAT hakumlazimishi parent kampani kuweka VAT mana ni kama MTANZANIA akiamua kuagiza vitu nje kupitia internet na akalipia kupitia BANK through TT lakini wao wamekuja na cover ya kuwa na offshore accounts in Tanzania.

Ndo mana ukienda nunua vifaa vya kuunganishwa kwa mara ya kwanza utachargiwa VAT only because vifaa ni mali ya Subsidiary Company. Kidogo wadau naomba nieleze kwann sheria zimetoa loophole nliyoitaja hapo JUU.

Companies Act 2002, inataka foreign companies zote zisajiliwe upya under laws za Tanzania, sasa ukisema hivyo ndo hapo sheria za kodi zinaposhindwa kuibana parent company mana sheria mama za makampuni haziitambui Parent Company only because haijasajiliwa Tanzania.

KAZI KWENU MNAOSEMA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Kama ni kweli hawatoi risiti zenye TIN AU VRN basi Tz ni jumba la makumbusho ambalo halina geti kwani wanatakiwa walipe Repatriated Income tax, kinyume na hapo ni tatizo la viongozi mbumbumbu na wababaishaji wanaojali matumbo yao tu.
Ndo maana kila mwaka bajeti inategemea TBL, wanashindwa kufuatilia mapato yanayopotea wanashughulika na mapato yanayopatikana na wale walipaji wazuri kama TBL na Sigara
 
Kama ni kweli hawatoi risiti zenye TIN AU VRN basi Tz ni jumba la makumbusho ambalo halina geti kwani wanatakiwa walipe Repatriated Income tax, kinyume na hapo ni tatizo la viongozi mbumbumbu na wababaishaji wanaojali matumbo yao tu.
Ndo maana kila mwaka bajeti inategemea TBL, wanashindwa kufuatilia mapato yanayopotea wanashughulika na mapato yanayopatikana na wale walipaji wazuri kama TBL na Sigara

Msheku: Malipo ya ankara mteja anayolipa kwa mwezi huwa hayatozwi kodi ya VAT mana Parent Company ndo anaraise invoice moja kwa moja kwa mteja. Collection zinafanywa kwenye their offshore accounts.

Hapa nchini inayolipa kodi ya mapato ni subsidiary company yao ambayo ndo inauza ving'amuzi vya connections na kucharge VAT accordingly. Tatizo hapa ni kuwa Company Act 2002 iko shallow, ndo mana watu wanataka Chenge awajibishwe kwa kutokuwa makini.

Siku moja nlikuwa na ongea na rafiki yangu toka India ambaye ameletwa na kampuni FLANI ili kuisaidia kukwepa KODI akanambia siku ya kwanza kushika sheria zetu za KODI alicheka sana mana kwa jinsi Acts zenyewe zilivyo portable aligundua loopholes zitakuwa nyingi sana. India Income Tax Act ni pages zaidi ya 300 na imecover vitu vingi thana. Ulizia ya BONGO??????????? Eti kisa twapenda vitu Portable....Tehe tehe SIPIYUUUUUUUUUUUUUUUUU

ALAFU UNAMSIKIA MTU ANASEMA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI SI DHULUMA HII
 


Tatizo hapa si mamlaka ya kodi TRA kushindwa kusimamia kodi bali watungaji washeria za nchi. Naomba kidogo nitoe uelewa wangu jinsi DSTV wanavyooperate in Tanzania na jinsi sheria zilivyokuwa na loopholes. DSTV wao wanatoa huduma kupitia digital systems ambazo zinasource matangazo toka South Africa and so nchini hapa wameweka mitambo inapokea matangazo ambapo hapo kampuni inayomiliki hiyo mitambo ni SUBSIDIARY wao ambayo ipo located along Ali Hasan Mwinyi Rd.

Ulipaji wa ankara za matumizi MTANZANIA anapofanya hua unalipwa moja kwa moja kwenye account ya Kampuni mama ambayo ina offshore accounts in Tanzania, na baada ya mwezi pesa hizo zinakuwa transfered to Accounts zao in South Africa na kuacha only 1% kwenye its subsidiary as commission for use of mitambo iliyokuwa located Tanzania.

Subsidiary wanapoicharge Parent Company hapo ndipo wanaweka VAT, wakati mteja wewe unakuwa billed na Parent Kampani moja kwa moja. Kuwa billed na parent kampani kwa sheria ya VAT hakumlazimishi parent kampani kuweka VAT mana ni kama MTANZANIA akiamua kuagiza vitu nje kupitia internet na akalipia kupitia BANK through TT lakini wao wamekuja na cover ya kuwa na offshore accounts in Tanzania.

Ndo mana ukienda nunua vifaa vya kuunganishwa kwa mara ya kwanza utachargiwa VAT only because vifaa ni mali ya Subsidiary Company. Kidogo wadau naomba nieleze kwann sheria zimetoa loophole nliyoitaja hapo JUU.

Companies Act 2002, inataka foreign companies zote zisajiliwe upya under laws za Tanzania, sasa ukisema hivyo ndo hapo sheria za kodi zinaposhindwa kuibana parent company mana sheria mama za makampuni haziitambui Parent Company only because haijasajiliwa Tanzania.

KAZI KWENU MNAOSEMA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Babu maelezo yako ni self-explanatory. Sasa kaa scenario yenyewe kaa ndio iko hivo basi kazi ipo.
 
tatizo watunga sheria na wapitisha sheria huwa wanalipiwa ****** yao ktk Seating Allowances,so uwezo wa kukataa na kupitia vizuri shiria hizo huwa unapungua sana,

wazo langu ni kuwa ktk masuala nyeti yote nchini ,hamna kulipwa SEATING ALLOWANCE wala makalio allowance,hapo ndo watu watafanya kzi kiwekweli kweli
 
Nilishangaa kuona wabunge wakishangilia pale Mkulo alisema serikali haitatoza kodi katika posho za wafanyakazi wa serikali,hii ni aibu na hatari kwa wabunge kutumiwa kuigawa jamii
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom