The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
Wataalamu wa Tech hebu niambieni
mtu akiwa na Decoder ya DSTV south africa au kenya kwa mfano
akailipia mwaka mzima
akaamua kuja nayo tz...
inakuwaje?
lazima aripoti dstv TZ?
lazima alipe upya?
halafu kuna huduma ya DRIFTA nayo mtu akilipia Kenya mfano
lazima akija TZ aanze upya?
mtu akiwa na Decoder ya DSTV south africa au kenya kwa mfano
akailipia mwaka mzima
akaamua kuja nayo tz...
inakuwaje?
lazima aripoti dstv TZ?
lazima alipe upya?
halafu kuna huduma ya DRIFTA nayo mtu akilipia Kenya mfano
lazima akija TZ aanze upya?