Mbava
Member
- May 18, 2011
- 30
- 1
Nawasalimu wana jf? Mimi bwana nimeanza kutumia hii huduma ya dstv mobile ya vodacom, na huduma hii walivyotangulia kutangaza, walisema huduma hii ni bure, lakini cha ajabu ninapotazama channel zile walizoanisha, nikiangalia salio nakuta imefyekwa' duu! Nilipojaribu kuwapia nakuwaleza tatizo, kila mhudumu ananipa majibu yake. Mwengine ananiambia huduma hii ni bure, mwingine ananiambia inatozwa kiasi kidogo cha fedha. Sasa naomba msaada kwa anayetumia huduma hii bure, nami nijue, akhasanten