Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Ccm get prepared for political tsunami.
Watanzania kwa ujumla na hasa vijana walifuatilia hili bunge kwa makini sana, walitarajia makubwa hasa ukichukulia kuwa taarifa kuu iliandaliwa na mkaguzi na mdhibiti mkuu wa serikali, Wabunge wote bila kujali itikadi walichangia kwa uwazi na hisia kali, lakini ilipofika kwenye kuchukua hatua watawala walijificha. Sasa je Nape ataweza kusimama mbele ya vijana aweleze kuwa chama tawala ni kizuri kina ilani nzuri inayomjali kila mtazania na hao vijana watulie tu wamsikilize bila kumzomea na hata kumtupia mayai viza? nina wasiwasi.kisiasa kujuuzuru kwa Mawaziri waliobainishwa kulikuwa na tija ccm ila hivi walivyofanya wanaifanya vyama vya upinzani kujijenga na ccm kuzidi kupolomoka
Nimegundua kuna njama za makusudi za kuua chama cha mapinduzi zikiongozwa na Kikwete mwenyewe. Haiwezekani katika hali ambayo kila mwananchi anasubiria maamuzi magumu yeye anafanya maamuzi dhaifu. Sawa serikali ni LEGELEGE lakini sio kwa kiwango hiki cha sasa. Inatishia usalama wa taifa kabisa, what if tukifuata ushauri wa Wenje kuwa tukimuona Ngeleja tuite MWIZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIICcm get prepared for political tsunami.
ID hiyo unaonekana mgeni; na hii ni post yako ya kwanza karibu sanaCcm get prepared for political tsunami.
nimekuelewa;Nimegundua kuna njama za makusudi za kuua chama cha mapinduzi zikiongozwa na Kikwete mwenyewe. Haiwezekani katika hali ambayo kila mwananchi anasubiria maamuzi magumu yeye anafanya maamuzi dhaifu. Sawa serikali ni LEGELEGE lakini sio kwa kiwango hiki cha sasa. Inatishia usalama wa taifa kabisa, what if tukifuata ushauri wa Wenje kuwa tukimuona Ngeleja tuite MWIZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
kitaeleka tu, hakuna mchezo; Sugu amewaambia wajiandae kuwa chama cha upinzani
Ni bora kuishi kwa matumaini hata ktk jambo ambalo unaliona ni gumu kwako.Wana JF nimekutana na kiongozi wa CCM (Mkuu wa wilaya Kigoma mjini) anasema chama chao hakina wasiwasi kabisa na hili wimbi la kukimbiwa na watu. Anasema kwamba CCM ni kama daladala, inashusha abiria wawili wanapanda abiria kumi. Kuna ukweli katika kauli hii?
pole sana mkuu ukiwa unaangalia bunge chukua tahathari unaweza kumpiga mtu au kuvunja tv kwa hasira.Mimi nimejikuta namgombeza mwanangu alipokuwa ananiuliza swali kwenye homework yake