ivi niaje pale chelsea kila akija striker wa ukweli kum-replace drogba, anafulia mbaya toka enzi za chevi,nawasiwasi drogba yuko kiafrika zaid a.k.a kaaga kwao
wezekana kwani wkt grant anamleta anelka yeye akiwa kwa mataifa ya africa alisema
akirudi englnd lazima atakuwa fest eleven,na alipoletwa sheva,akatishia kuondoka eti hoo yeye hawezi kucheza mpira kama mbio za vijiti. hata kuna gossip zikasema drogba kaambiwa na babu yake asiondoke chelsea
heheheheh! inawezekana mkuu.. muafrica.. muafrica tu! tena kule africa magharibi.. inawezekana kaaaga kwao. lakini Drogba ni striker mzuri pia. Moyo unapata tabu sana ikitokea match ya chelsea na arsenal alafu drogba ndani.. lazima atikise nyavu ni kama ana kizizi na gooners
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.