Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF naomba msaada wenu leo ndugu yangu kakamatwa na traffic pale Mikocheni kwa kosa la kuendesha vibaya. kapelekwa Oysterbay Polisi akaomba aandikiwe fine alipe mara afande aliyemuleta akamwambia sheria hiyo imebadirishwa inabidi ukae ndani(Jera) kwa muda fulani then ndo wakutoe. Mimi nilifika pale nikakuta madriver kama watano(wa private car na daladala) wanaingizwa Jera kwa makosa ya kuendesha vibaya.
Cha kushangaza kabla ya kutoka aliulizwa na afande unasemaje sasa? then mtuhumiwa akasema nitaripa fine yoyote baada ya kutoka afande kachukua kama 50,000 bila hata ya risiti. Madriver wengine walibaki Jera baada ya kukosa watu wa kuwatoa.
Cha kushangaza kabla ya kutoka aliulizwa na afande unasemaje sasa? then mtuhumiwa akasema nitaripa fine yoyote baada ya kutoka afande kachukua kama 50,000 bila hata ya risiti. Madriver wengine walibaki Jera baada ya kukosa watu wa kuwatoa.