Michuzi anadai kikosi hiki kikosi ni dream team, je watanzania tutegemee kitu gani kutoka kwa viongozi hawa? sioni sura mpya hapa, mwendo mpya, kasi mpya..........
Si tu ni wachakachuaji kura bali wa demokrasia. Hawa wanahusika katika kuua demokrasia Tanzania. Michuzi ni mganga njaa ameneemeka kwa kujipendekeza kwao na kesha futa umaskini wake. Yeye ni mpaliliaji wa ufisadi kwani unampatia chakula chake cha kila siku.
Michuzi anadai kikosi hiki kikosi ni dream team, je watanzania tutegemee kitu gani kutoka kwa viongozi hawa? sioni sura mpya hapa, mwendo mpya, kasi mpya..........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.