Dream team ya michuzi

chama

JF-Expert Member
Aug 6, 2010
8,001
2,418
Picha%2Bno%2B11.JPG



Michuzi anadai kikosi hiki kikosi ni dream team, je watanzania tutegemee kitu gani kutoka kwa viongozi hawa? sioni sura mpya hapa, mwendo mpya, kasi mpya..........
 
Si tu ni wachakachuaji kura bali wa demokrasia. Hawa wanahusika katika kuua demokrasia Tanzania. Michuzi ni mganga njaa ameneemeka kwa kujipendekeza kwao na kesha futa umaskini wake. Yeye ni mpaliliaji wa ufisadi kwani unampatia chakula chake cha kila siku.
 
Hamna mwenye chini ya 60 hapo, du hivi kumbe ni hawa ndiyo tumewakabidhi hatima ya nchi yetu?
 
Picha%2Bno%2B11.JPG



Michuzi anadai kikosi hiki kikosi ni dream team, je watanzania tutegemee kitu gani kutoka kwa viongozi hawa? sioni sura mpya hapa, mwendo mpya, kasi mpya..........

waiziiiii!!!! Vibakaaaa!!!!
 
bilal naona uso wa mbuzi .. hata tabasamu la mbali hakuna
 
Back
Top Bottom