Dream Team: Sitta, Magufuli, Mwakyembe na Urais wa 2015

Matola..uamuzi wa kuuza nyumba ulifanywa na baraza la mawaziri..nadhani unajua linakuwa na wajumbe gani na acha kukurupuka
Usilete hoja za kitoto ukazani huu ni uwanja wa watoto, mtu yeyote ambae ni muadilifu na anaesimamia kile anachoamini mkifanya maamuzi ambayo si sahihi na yeye ndio anaetakiwa ayasimamie, kiongozi mzalendo huwa anajiuzulu siku hiyo hiyo. huyu ni mganga njaa tu hana lolote.
Magufuri hafai kuwa Rais wa nchi hii. lakini sioni sababu ya kupoteza muda wangu kulijadiri hili kwa kuwa najuwa fika CCM haiwezi kurudi tena madarakani kwenye uchaguzi ujao hata wamsimamishe nani.
 
- Ninawaheshimu sana Waheshimiwa Sitta na Mwakyembe, kwa sababu moja muhimu sana ni kwamba hawajawahi kujificha wanaposimamia kwenye ishus muhimu sana kwa taifa, as opposed na wengine ambao kucha na mchana wanahangaika kujisafisha lakini hawasafishiki!

- Kama watagombea utakua uamuzi wa wananchi kuchagua viongozi waliokuwa mabubu kwenye kero zao, au wale waliosema wazi kwamba wanasimama nao, bila kuuma uma maneno?


William @ NYC, USA.
 
Najua hili kwa picha na mtazamo uliopo sasa litapingwa pengine na kila mchangiaji, lakini unabii huu utatimia. Si Magufuli wala Lowasa watakaopata hiyo fursa, Suala la Muungano litaisukuma CCM kuanza kummould mtu kutoka upande wa pili wa Tanzania
Kyando. Ni kweli CCM wangependa kumsimamisha mtu visiwani tatizo hakuna yoyote anayeuzika kulinganisha na moto wa Chadema. Kama uchaguzi uliopita, Dr. Slaa amepururusha ushindi wa "chaguo la mungu" kwa asilimia 20% with a sitting president anayegombea kiti alicho kikalia nusura akikose, hivyo 2015 CCM kamwe haiwezi kucheza makida makida na kuweka rehani uwezekano wa ushindi. John Pombe Magufuli ndie mwana CCM pekee anayeweza kuinusuru CCM. Anyone else means njia nyeupe kwa Dr wa ukweli kuifikia nyumba nyeupe!.
 
Nilikaa nikawaza tu,

Mwaka 2010 niliamka asubuhi na mapema na kumpigia kura Dk. Willibrod Slaa wa CHADEMA kuwa Rais wa Tanzania. Yaliyotokea kwenye uchaguzi huo wote tunajua na tulishuhudia jinsi kura zetu zilivyoibiwa na Jakaya Kikwete wa CCM akatangazwa Rais kwa kura za wizi.

Uchaguzi wa 2015 bado uko mbali. Sijui kama Dk. Slaa atagombea tena au la. Pia ni dhahiri kuwa kuna uwezekano mkubwa tu kuwa mgombea wa CCM mwaka 2015 akatangazwa tena kuwa Rais by any means necessary. Maandamano ya kudai katiba mpya haraka yako wapi? Tume ya kupitia katiba mpya mpaka leo haijaundwa, bado kuna referendum inatakiwa ifanyike nk. Sitashangaa uchaguzi wa 2015 ukifanyika chini ya katiba hii hii na mambo yakawa yale yale.

Viongozi wa upinzani wako "bize" kutumika (knowingly and unknowingly) kwenye kampeni ya kuwasaidia mapacha watatu (Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge) wasifukuzwe kutoka CCM.

Kutokana na hayo yote, imenibidi niangalie uwezekano wa CCM kuutwaa Urais tena 2015.

Wangeteuliwa (ingawa najua haiwezi kutokea) viongozi hawa hapa wa CCM kwenye nafasi hizi nyeti, kwa kweli ningepata wakati mgumu wa kufanya maamuzi kama niipigie tena kura CHADEMA au nihamie CCM safari hii:

(The CCM Dream Team)

Rais wa Tanzania -- Samuel Sitta

Makamu wa Rais -- Omar Yusuf Mzee

Waziri Mkuu -- John Magufuli

Waziri wa Nishati na Madini -- Dr. Harison Mwakyembe

Waziri wa Maliasili na Utalii -- Prof. Anna Tibaijuka

Waziri wa Kilimo -- Dk. Enos Bukuku

Waziri wa Fedha -- Dr. Asha-Rose Migiro

Waziri wa Mambo ya Nje -- Bernard Membe/Juma Mwapachu

Waziri wa Viwanda na Biashara -- Ali Mufuruki

Watanzania wangepewa chaguo la Rais wao kuwa Dk. SLAA au SITTA, mpenda maendeleo yoyote angeweza kusema yoyote atakayeshinda Urais ni sawa tu.

Ila Tanzania si taifa lenye bahati. Limekuwa na nuksi ya kutawaliwa na watawala wabovu na iliwahi kupata viongozi watatu tu wa kujivunia -- Mwalimu Juliua Nyerere, Edward Sokoine na Abeid Karume.

Ingekuwa timu ya mpira, Tanzania ningeifananisha na ARSENAL FC ya Uingereza. So much potential, so much promise lakini si rizki. Ni ugonjwa wa moyo tu... Wacha niendelee kuota!

mnajtahidi sana kututoa kwenye mapambano ya mabadiliko
 
- Ninawaheshimu sana Waheshimiwa Sitta na Mwakyembe, kwa sababu moja muhimu sana ni kwamba hawajawahi kujificha wanaposimamia kwenye ishus muhimu sana kwa taifa, as opposed na wengine ambao kucha na mchana wanahangaika kujisafisha lakini hawasafishiki!

- Kama watagombea utakua uamuzi wa wananchi kuchagua viongozi waliokuwa mabubu kwenye kero zao, au wale waliosema wazi kwamba wanasimama nao, bila kuuma uma maneno?


William @ NYC, USA.
Mkuu Billy, Sitta na Dr. Mwakiembe sio asset tena kwenye CCM, hawa ni liability kutokana na role yao kwenye CCJ.
 
Nilikaa nikawaza tu,<br />
<br />
Mwaka 2010 niliamka asubuhi na mapema na kumpigia kura Dk. Willibrod Slaa wa CHADEMA kuwa Rais wa Tanzania. Yaliyotokea kwenye uchaguzi huo wote tunajua na tulishuhudia jinsi kura zetu zilivyoibiwa na Jakaya Kikwete wa CCM akatangazwa Rais kwa kura za wizi.<br />
<br />
Uchaguzi wa 2015 bado uko mbali. Sijui kama Dk. Slaa atagombea tena au la. Pia ni dhahiri kuwa kuna uwezekano mkubwa tu kuwa mgombea wa CCM mwaka 2015 akatangazwa tena kuwa Rais by any means necessary. Maandamano ya kudai katiba mpya haraka yako wapi? Tume ya kupitia katiba mpya mpaka leo haijaundwa, bado kuna referendum inatakiwa ifanyike nk. Sitashangaa uchaguzi wa 2015 ukifanyika chini ya katiba hii hii na mambo yakawa yale yale.<br />
<br />
Viongozi wa upinzani wako &quot;bize&quot; kutumika (knowingly and unknowingly) kwenye kampeni ya kuwasaidia mapacha watatu (Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge) wasifukuzwe kutoka CCM.<br />
<br />
Kutokana na hayo yote, imenibidi niangalie uwezekano wa CCM kuutwaa Urais tena 2015.<br />
<br />
Wangeteuliwa (ingawa najua haiwezi kutokea) viongozi hawa hapa wa CCM kwenye nafasi hizi nyeti, kwa kweli ningepata wakati mgumu wa kufanya maamuzi kama niipigie tena kura CHADEMA au nihamie CCM safari hii:<br />
<br />
(The CCM Dream Team)<br />
<br />
Rais wa Tanzania -- <b>Samuel Sitta</b><br />
<br />
Makamu wa Rais -- <b>Omar Yusuf Mzee </b><br />
<br />
Waziri Mkuu -- <b>John Magufuli</b><br />
<br />
Waziri wa Nishati na Madini -- <b>Dr. Harison Mwakyembe </b><br />
<br />
Waziri wa Maliasili na Utalii -- <b>Prof. Anna Tibaijuka </b><br />
<br />
Waziri wa Kilimo -- <b>Dk. Enos Bukuku</b><br />
<br />
Waziri wa Fedha -- <b>Dr. Asha-Rose Migiro </b><br />
<br />
Waziri wa Mambo ya Nje -- <b>Bernard Membe/Juma Mwapachu </b><br />
<br />
Waziri wa Viwanda na Biashara -- <b>Ali Mufuruki </b><br />
<br />
Watanzania wangepewa chaguo la Rais wao kuwa Dk. SLAA au SITTA, mpenda maendeleo yoyote angeweza kusema yoyote atakayeshinda Urais ni sawa tu.<br />
<br />
Ila Tanzania si taifa lenye bahati. Limekuwa na nuksi ya kutawaliwa na watawala wabovu na iliwahi kupata viongozi watatu tu wa kujivunia -- Mwalimu Juliua Nyerere, Edward Sokoine na Abeid Karume.<br />
<br />
Ingekuwa timu ya mpira, Tanzania ningeifananisha na ARSENAL FC ya Uingereza. So much potential, so much promise lakini si rizki. Ni ugonjwa wa moyo tu... Wacha niendelee kuota!
<br />
<br />
MAWAZO PEVU.NIMEYAPENDA.NIMEPATA CHAKULA CHA KUTAFUNA KWA SIKU YOTE YA LEO
 
nilikaa nikawaza tu,

mwaka 2010 niliamka asubuhi na mapema na kumpigia kura dk. Willibrod slaa wa chadema kuwa rais wa tanzania. Yaliyotokea kwenye uchaguzi huo wote tunajua na tulishuhudia jinsi kura zetu zilivyoibiwa na jakaya kikwete wa ccm akatangazwa rais kwa kura za wizi.

Uchaguzi wa 2015 bado uko mbali. Sijui kama dk. Slaa atagombea tena au la. Pia ni dhahiri kuwa kuna uwezekano mkubwa tu kuwa mgombea wa ccm mwaka 2015 akatangazwa tena kuwa rais by any means necessary. Maandamano ya kudai katiba mpya haraka yako wapi? Tume ya kupitia katiba mpya mpaka leo haijaundwa, bado kuna referendum inatakiwa ifanyike nk. Sitashangaa uchaguzi wa 2015 ukifanyika chini ya katiba hii hii na mambo yakawa yale yale.

Viongozi wa upinzani wako "bize" kutumika (knowingly and unknowingly) kwenye kampeni ya kuwasaidia mapacha watatu (edward lowassa, rostam aziz na andrew chenge) wasifukuzwe kutoka ccm.

Kutokana na hayo yote, imenibidi niangalie uwezekano wa ccm kuutwaa urais tena 2015.

Wangeteuliwa (ingawa najua haiwezi kutokea) viongozi hawa hapa wa ccm kwenye nafasi hizi nyeti, kwa kweli ningepata wakati mgumu wa kufanya maamuzi kama niipigie tena kura chadema au nihamie ccm safari hii:

(the ccm dream team)

rais wa tanzania -- samuel sitta

makamu wa rais -- omar yusuf mzee

waziri mkuu -- john magufuli

waziri wa nishati na madini -- dr. Harison mwakyembe

waziri wa maliasili na utalii -- prof. Anna tibaijuka

waziri wa kilimo -- dk. Enos bukuku

waziri wa fedha -- dr. Asha-rose migiro

waziri wa mambo ya nje -- bernard membe/juma mwapachu

waziri wa viwanda na biashara -- ali mufuruki

watanzania wangepewa chaguo la rais wao kuwa dk. Slaa au sitta, mpenda maendeleo yoyote angeweza kusema yoyote atakayeshinda urais ni sawa tu.

Ila tanzania si taifa lenye bahati. Limekuwa na nuksi ya kutawaliwa na watawala wabovu na iliwahi kupata viongozi watatu tu wa kujivunia -- mwalimu juliua nyerere, edward sokoine na abeid karume.

Ingekuwa timu ya mpira, tanzania ningeifananisha na arsenal fc ya uingereza. So much potential, so much promise lakini si rizki. Ni ugonjwa wa moyo tu... Wacha niendelee kuota!





day dreaming welcome
 
namkumbuka mkapa na juridical power yake. that man was real strong, c huyu chekacheka
 
Mmekata tamaa sana watanzania, mnatia huruma kweli kweli.

Nachojua mimi Mtanzania yeyote anayefikiria kuchagua Rais kutoka CCM, Hata kama angekuwa
nyerere kwa hali ya sasa, atakuwa ni ndondocha tu lazima.

Woote hao ni maji ga nyanja woote
Kwa kweli watanzania tunatia huruma!Yaani tumechoka kufikiri kiasi cha kudhani kuwa tumaini letu la kesho liko katika viongozi "Recycled" tena kutoka CCM?Hivi vision ya kesho inaweza kutoka jana?Mimi ninaamini kuwa uongozi utakaotukomboa hauwezi kutoka CCM hii yenye magamba mpaka tumboni!Ingawa ni kweli tunahitaji viongozi wakuu ambao ni mature,seasoned and salted katika convictions zao kama Dr.Slaa lakini kwa kiasi kikubwa vision na revolutionary thinking tunayoihitaji ili itupeleke kesho yenye neema lazima itoke kwa viongozi vijana wenye ujasiri kama kina Mnyika et al!
 
Mkuu Billy, Sitta na Dr. Mwakiembe sio asset tena kwenye CCM, hawa ni liability kutokana na role yao kwenye CCJ.

- Thanks Pasco, all the liabilities in the CCM, hawakurudi NEC wala CC na CCM imeshaawambia kwamba wanaweza kuondoka na kwenda upinzani, infact lilikuwa ni shinikizo la Sitta lililopelekea kujivua, So read it again najua wewe ni grounded sana na our politics za behind the scene!

William @ NYC, USA.
 
- ninawaheshimu sana waheshimiwa sitta na mwakyembe, kwa sababu moja muhimu sana ni kwamba hawajawahi kujificha wanaposimamia kwenye ishus muhimu sana kwa taifa, as opposed na wengine ambao kucha na mchana wanahangaika kujisafisha lakini hawasafishiki!

- kama watagombea utakua uamuzi wa wananchi kuchagua viongozi waliokuwa mabubu kwenye kero zao, au wale waliosema wazi kwamba wanasimama nao, bila kuuma uma maneno?


william @ nyc, usa.

hawana jipya hao; wewe uko majuu hujui what is on the gound; mwakyembe mbona hakusema kuhusu mradi wa umeme wa upepo? Alipokuwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge? Sitta hakusema in public kwanini alihaha kutaka muswada wa famasi usiwasilishwe, je alikuwa na maslahi gani?

Wote hao ni wa chumia tumbo, hakuna wa kujali maslahi ya umma
 
Mnahangaika tu hawa wote hakuna anayeweza kuinusuru CCM inayoelekea shimoni.

JK anayemgombea wake ambaye anadhani anaweza kuwashawishi wenzake ndani ya magamba.
2015 ni zamu ya wanawake ndicho utakachokisikia....

Lakini.........

Kuachiwa mwanamke hii nchi hapa ilipo ni kujidanganya maana inahitaji overhauling kama Engine!
 
Baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 24 April 1964......Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania anaweza kabisa kutoka moja ya pande hizi mbili zilizoungana , anaweza toka ama BARA AMA VISIWANI hilo halina shaka hata kidogo, lakini WATANZANIA hawata mchagua rais awe anatoka Zanzibar ama Tanganyika kwa dini yake, kabila lake, Rais atachaguliwa kwa sifa, ehhhhh sifa, kama mtu hana sifa hatufai hata kidogo kuwa rais wetu wa Tanzania? leo asiyetufaa ni yule mwenye sifa mbaya za SIASA ZA LEO...........fFISADI.....leo waTanzania wanalalamika, wanasononeshwa na UFISADI NA FISADI, mtu kama huyu hafai kuwa rais wetu awe anatoka BARA MA VISIWANI hafai.

MLAJI RUSHWA hafai kuwa mkuu wa nchi yetu, maana IKULU NI MAHALA PATAKATIFU haiwezekani aingie mtu wa namna hiyo, lakini pia waTanzania hawatamkataaa mtu kwasababu ni mjaluo, mkara, mzigua, mzanaki, msafa na nk ndio kabila lake kama anasifa anafaa kuchaguliwa na haifai kumkataa mwenye sifa kwa sababu eti si mwenzenu, ikafanyika hivyo ni makosa, maana mnaweza kuiunza nchi hii kwa walanguzi, wauza bangi, wanyonyaji, na nk.

sina wasiwasi na SUALA LA MGOMBEA URAIS 2015 kikubwa awe ni mwenyesifa na mwenyekuweza kufanya kazi ya kuwatumikia wananchi wa Tanzania kinyume na hapo ni kuingamiza nchi.

-Mungu ibariki Tanzania
 
Huna kazi za kufanya nini? Acha kutuletea porojo hapa. Sias ni mchezo ambao unategemea uchezaji wa mwanasiasa hasa mwishoni. Huu usheikh yahya utakupotezea muda tu sasa. Fanya kazi.
 
Wanaotajwa ni hao, lakini anayeandaliwa ni mwingine kabisa.... Dr Asha Rose Migiro.
 
Back
Top Bottom