hapo penye rangi ndipo panapotuachia option ya Membe tu,, hana kashfa kabisa na ni mzalendo wa kwelimsimdhulumu huyu mama fuata cv yake, anaweza sana sana sio kama sitta au lowasa, sita kigeu geu lowasa mpenda mali!!
hapo penye rangi ndipo panapotuachia option ya Membe tu,, hana kashfa kabisa na ni mzalendo wa kwelimsimdhulumu huyu mama fuata cv yake, anaweza sana sana sio kama sitta au lowasa, sita kigeu geu lowasa mpenda mali!!
Ingawa unaishi karne ya 21 mawazo yako bado ni ya wakati wa stone age ... hivi hao wanaume ambao wamekuwa marais Tanzania wamefanya nini sana ambacho unafikiri mama Tibaijuka hatashindwa kufanya? Ana experience ya kutosha, mchapa kazi, na haogopi kufanya maamuzi magumu hata kama atakosana na watu fulani. Hana hata iota ya harufu ya RUSHWA .... sasa niambie kidume gani kinaweza kuwa Rais 2015?Kwanza Mhaya, pili mjane tatu HABITAT yake haijatugusa sisi kama Watanzania kwa lolote kule UN alikokuwa anaisimamia. Sanasana amejitengenezea mradi wake wa JOHA Secondary ambao wanafunzi wa Kihaya hawa pati kizingiti kuingia kama makabila mengine
eti wanawake hawana uwezo.....mngekaa kwenye matumbo na kuzaliwa kwa hao mnaowaona bora.....wengi wenu mmelelewa, mmesomeshwa kwa maandazi, uuzaji wa pombe na mama zenu ..wakati hao mnao wadhani wana uwezo wakiishia kwenye nyumba ndogo na vilabu vya pombe.......sijaona mtu mwerevu na jasiri kama mwanamke duniani
mix with yours
MWINYI, MKAPA na KIKWETE "waliwasaidia" watanzania nini kabla ya kuwa marais?jamani msema kweli mpenzi wa mungu nitasema kweli uwongo kwangu mwiko,HUYU MAMA PAMOJA NA ELIMU YAKE NZURI NYAZIFA ALIZOSHIKA BADO HAJAISAIDIA KABISA TANZANIA ANATOKA CHAMA LEGELEGE , ATAUNDA SERIKALI LEGELEGE
Our country is still very naive to be led by a female president. What do you think a poor female Tanzanian president will do that could amicably interests Tanzanians. Don't dare to neither think nor waste your precious time promoting women. You better think of how you could feed and cloth a woman you have.
Have a good day