Draft Anna Kajumulo Tabaijuka for President 2015

Akiweza kutamka neno "ng'ang'ana" nitampa kura yangu Anna.


Please! Utafikiri namwona vile anavyosema "ngangana":biggrin1:

Lakini tukiacha hiyo "lakini mkara" aliyoikemea Mwalimu, je anafaa?
 
Mtakeni radhi huyu mama. Ni Prof sio Dk. Anafaa kuwa kiongozi wa nchi
 
As minister of lands, she has proved that she is a good executive and manager. She has turned around a ministry that was marred with corruption and mismanagement. Dr. Tibaijuka has proved to be a visionary and steadfast leader who can make tough DECISIONS. ..

Really??
 
CCM wana good candidate mmoja tu -Magufuli. Nasema good maana naye ana mapungufu yake lakini tukimuweka kwenye mizani ya utendaji ana afadhali kuliko wengine wote.
 
Watanzania bana, yaani mtu kuwa kiongozi wa UN Habitat tayari anafaa kuwa Rais wa Tanzania? Au ni kwa sababu ni mwanamke?

Kwa maoni yangu mtu yeyote anayetaka kuwa Rais wa Tanzania lazima tumpime kwa aliyoifanyia Tanzania na siyo ahadi za blah blah kama alizotupa JK za Maisha Bora kwa kila Mtanzania. Kuwa Professor si kigezo, kuwa kiongozi UN si kigezo...tusifanye makosa tuliyoyafanya kwa JK.

Watu wengine mnatia hata hasira, mwingine alikuja hapa jamvini eti Dr. Rose Migiro anafaa...ukimuuliza sababu eti ooh ameshaongoza taasisi kubwa duniani yaani UN. Kungekuwa na kitufe cha kumchapa makofi ningmchapa hata makofi 10.
 
eti mwanamke hawezi kupewa nchi kwa sasa.....msinitafutue bani jamani......
HIVI NYIE WANAUME MLIOPEWA NCHI KWA MIAKA 50 MMEIFANYIA NINI NCHI HII???

WALAFI....HAKUNA LOLOTE LA MAANA NCHI IMEENDELEA KUWA MASKINI CHINI YA MIKONO NA VICHWA VYENU.......MMEPROVE HAMUWEZI LOLOTE ZAIDI YA KUWA NA WATOTO/WAKE WENGI KWA HILO MNAJITAHIDI.....AFRICA, DUNIA INAOMBOLEZA KWA AJILI YA UONGOZI MBOVU WA WANAUME.....ETI.....TZ BADO KUONGOZA NA WANAWAKE AS IF WANAUME KUNA WALIOLIFANYA LOOOOH
MMEHARIBI SIKU YA NGU BURE..........

MASKINI WA fikra, wavivu wa kubuni, wezi wa mali ya umma, mizigo isiyobebeka, waasisi wa nyumba ndogo....MLIOSHINDWA KU DELIVER KWA MIAKA 50........HAMNA JIPYA ZAIDI YA UFISADI

mix with yours
 
Prof Anna TIbaijuka anaweza jamani kuongoza ,tuseme ukweli.Sema wasiwasi wangu ni kama amekomaa vizuri Kisiasa kuhimili Siasa na Majungu/Politics ndani ya chama cha Sisiemu,hapo ndo maana naona aliyekomaa kabisa kabisa ni lOWASSA
 
Acheni mfumo dume,what we need, is the person's ability to run the company whether is he/ she
<br />
<br />
achen kutaka kujarib et kuwa na 1st presda mwanamke,hata spik.,.a mlikuja na kauli mbiu hiyo hiyo. Kafien mbali na wanawake wenu wanaokuwa na madaraka aafu wana2mwa na mtu kutekeleza matakwa yake.
 
Prof Anna TIbaijuka anaweza jamani kuongoza ,tuseme ukweli.Sema wasiwasi wangu ni kama amekomaa vizuri Kisiasa kuhimili Siasa na Majungu/Politics ndani ya chama cha Sisiemu,hapo ndo maana naona aliyekomaa kabisa kabisa ni lOWASSA

Kaulizeni UN-Habitat alifanya nini- Lugha rasmi ilikuwa -Kihaya! Bukoba yote ilihamia Nairobi
 
Walisema ni zamu ya mwanamke kuwa spika wa bunge lakini yanayotokea bungeni kwa sasa Mwenyezi Mungu ndiye anayejua. Sijui mpaka lini tutaendelea kuiweka reheni nchi yetu, nafikiri imefika wakati wa kuchagua viongozi pasipo kuangalia sura, elimu, dini wala kabila bali tuangalie zaidi nia, dhamira na utashi wa mtu katika kulitumikia Taifa letu na watanzania kwa ujumla vinginevyo tutaishia kwenye ule mwendo wa kisengele nyuma yaani hatua moja mbele tatu nyuma!!

Natamani tungempata rais ambaye ni dikteta ambaye anatoa maamuzi mazito pasipo kuangalia sura wala uswahiba na pale inapobidi hata bakora zitumike kama sio kamba za kunyongea wahalifu
 
<br />
<br />
achen kutaka kujarib et kuwa na 1st presda mwanamke,hata spik.,.a mlikuja na kauli mbiu hiyo hiyo. Kafien mbali na wanawake wenu wanaokuwa na madaraka aafu wana2mwa na mtu kutekeleza matakwa yake.


spika hakuwekwa pale kwa sababu ni competent mwanamke aliwekwa na WANAUME kwa sababu waliju atalinda maslahi yao kwa jina la ''''hii zamu ya wanawake kuongoza bunge''''' .......kwanza sijui kama ni mwanamke anyway

sina haja ya kumtetea anna kufaa ama kutokufaa..hoja wangu ni kwamba uwezo wa kuongoza sio suala la jinsia ...ni fikra iliyovia kufikiria hilo
huenda Halima Mdee angeweza kuongoza wizara ya nishati bila ht kuwa na naibu.....pale tuna midume mitatu....hamna la maana.....uanawake na uanaume ni biological tu...uwezo wa kuamua, kutenda na kubuni uko beyond jinsia

mix with yours



mix with yours
 
She deserve not to be!We want pro active and focussed leaders like Magufuli.
 
Even the current president is a female president.

Wacha niseme haya ni kama maneno ya wahuni wa Mtaani.

Hata kama Hatujaridhika Na utendaji Wa Rais, Sio vizuri kumkebehi.

Mbona tusijitahidi kuandika zaidi makosa yake na kumshauri afanyeje.

Mfano:

1. Tunaomba kipaumbele Kwenye umeme.
2. Tunaomba miundo mbinu ambayo itaweza kuondoa Foleni hapa Dar Es salaaam.
3. Punguza kodo Kwenye Mafuta.
4. Wabunge hawasathili posho
5. Tunaomba mkulima asaidiwe katika kuuza mazao yake katika masoko ya nje ambayo yameonekana kuwa na uhitaji mkubwa.
6. Tunaomba ukiritimba TRA na Bandarini uondolewe
7. Tunaomba Wazawa wapewe kipaombele katika ajira
8. Tunaomba Tufaidike na rasilimali zetu hasa madini.
9. Tunaomba issue ya mikataba inayahosu rasilimali za Nchi isiwe inatiwa saina na waziri husika peke yake, kuwe na some sought of public oversight committee.
10. Tunaomba Ngeleja apumzike kwasababu amechoka.

Mimi sidhani sisi kama wananchi tungekuwa tumetimiziwa mahitaji yetu muhimu tungehoji safari za rais wetu.
 
Acheni mfumo dume,what we need, is the person's ability to run the company whether is he/ she


???????? Which company do you mean? are you with us? Oh!! sorry, i think you mean CCM COMPANY LTD? OK we have tried one (she) on the parliament, can you see how "Parliament company ltd" driven.

Even if we elect a woman to run this company " TANZANIA COMPANY LTD". they will be a men behind him running on behalf, she will be just a puppet.


Woman is not able until she is enabled ( by who?)
 
Wacha niseme haya ni kama maneno ya wahuni wa Mtaani.

Hata kama Hatujaridhika Na utendaji Wa Rais, Sio vizuri kumkebehi.

Mbona tusijitahidi kuandika zaidi makosa yake na kumshauri afanyeje.

Mfano:

1. Tunaomba kipaumbele Kwenye umeme.
2. Tunaomba miundo mbinu ambayo itaweza kuondoa Foleni hapa Dar Es salaaam.
3. Punguza kodo Kwenye Mafuta.
4. Wabunge hawasathili posho
5. Tunaomba mkulima asaidiwe katika kuuza mazao yake katika masoko ya nje ambayo yameonekana kuwa na uhitaji mkubwa.
6. Tunaomba ukiritimba TRA na Bandarini uondolewe
7. Tunaomba Wazawa wapewe kipaombele katika ajira
8. Tunaomba Tufaidike na rasilimali zetu hasa madini.
9. Tunaomba issue ya mikataba inayahosu rasilimali za Nchi isiwe inatiwa saina na waziri husika peke yake, kuwe na some sought of public oversight committee.
10. Tunaomba Ngeleja apumzike kwasababu amechoka.

Mimi sidhani sisi kama wananchi tungekuwa tumetimiziwa mahitaji yetu muhimu tungehoji safari za rais wetu.


Hashauriki huyooooo, AONDOKE, Kwani hayo uliyoandika yeye hayajui? si anazuga tu, anajua hamuwezi kumfanya kitu.
kwani ilani ya chama si inazungumzia hayo kwa namna moja ama nyingine? HAYATEKELEZEKI?

 
Kaulizeni UN-Habitat alifanya nini- Lugha rasmi ilikuwa -Kihaya! Bukoba yote ilihamia Nairobi

Miaka hamsini ya Uhuru bado Tanzania ina donda-ndugu la ukabila! Nina mashaka kama akili yako ilikuwa sawa kipindi unajibu!!
 
Back
Top Bottom