X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,809
Asalaam Alaykum!
Dr Zakir Naik wa Peace TV ya India yupo nchini Tanzania na atakuwa na mhadhara siku ya Ijumamosi tarehe 25/04/09 katika ukumbi wa Starlight kuanzia saa 2 asubuhi. Walengwa ni wasomi, wafanyakazi, wafanyabiashara, wanafunzi na wadau mbalimbali.
Kwa maelezo zaidi soma Gazeti la Annuur siku ya Ijumaa tar 24/04/09.
Kwa taarifa hii mnaomba kuwaarifu na waislam wengine. Lugha ya mawasiliano ni Kiingereza.
Ujumbe huu nimeutoa kwa niaba ya Katibu wa TAMPRO Br Pazi Semili
(0754 654900).
X-PASTER
Dr Zakir Naik wa Peace TV ya India yupo nchini Tanzania na atakuwa na mhadhara siku ya Ijumamosi tarehe 25/04/09 katika ukumbi wa Starlight kuanzia saa 2 asubuhi. Walengwa ni wasomi, wafanyakazi, wafanyabiashara, wanafunzi na wadau mbalimbali.
Kwa maelezo zaidi soma Gazeti la Annuur siku ya Ijumaa tar 24/04/09.
Kwa taarifa hii mnaomba kuwaarifu na waislam wengine. Lugha ya mawasiliano ni Kiingereza.
Ujumbe huu nimeutoa kwa niaba ya Katibu wa TAMPRO Br Pazi Semili
(0754 654900).
X-PASTER