Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
We mrembo upo?? ulipotea sana....sijui nani alikuhifadhi kwa kipindi chote.we mbabu wewee! Haya we endelea tuu
Karibu tena!!
We mrembo upo?? ulipotea sana....sijui nani alikuhifadhi kwa kipindi chote.we mbabu wewee! Haya we endelea tuu
Ficha upumbavu wako, usifiche hekima yako.
Leteni mapesa arusha tule CCM tukalale Chadema.
Tehe tehe tehe tehe! Kwi kwi kwi kwi kwi. Hapa arusha mjini CCM hamna chenu Rejao, hata kama chadema watasimamisha jiwe litapita kwa kishindo! Tunawasubiri kwa hamu kubwa! Natamani uchaguzi ungekuwa kesho!
Kama mahakama imemuonea si akate rufaa???Lema Kiboko yenu, mmeshindwa kupambana naye sasa mnategemea mahakama. CCM bure kabisa.
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama[/QUOTE
Najua unatania tu. teh he he.
Mkuu sikiliza hapa; Freeman Mbowe akiongea na Watanzania waishio nchini Marekani Februari 4, 2012 pt 4 - YouTubeA way forward ni kuwa kitu kimoja CDM kuna shutma zinaizonga pengine ni propaganda tu za wenye kuchukia maendeleo ya CDM lakini hakuna hata siku moja CDM imekanusha au kutolea maamuzi ambayo yatawafanya watu wapuuze shutma hizo.
1. Kuwa CDM ni chama cha kikanda na hata wabunge wake wengi ni wa kutoka kanda fulani.
2. CDM ina mkono wa kanisa (hapa nakumbuka shutma dhidi ya CUF wao walikuwa wanazikanusha ila kwa bahatio mbaya au sijapata kusikia popote CDM wakikanusha hili)
Mabadiliko yatapatikana watanzania wakiwa wamoja bila kujali kanda zao/koo zao wala dini zao je CDM wapo tayari kuonyesha njia?
Wewe wasema! Mbeya, Kigoma,Dar,Tarime,Iringa na Mwanza nako ni kaskazini sio ?!Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Lema alipata kura 2010 kwa sababu watu walikuwa hawamfamu. Kwa kipindi hiki cha mwaka na nusu watu wamemfahmu Lema ni mtu wa aina gani. Wameona matatizo aliyowaletea, vurugu za kila siku na kurudi nyuma kwa maendeleo ya Jimbo la Arusha mjini. Kwa sasa hawawezi kurudia tena kosa walilolifanya 2010. Watu wengi sana wamefurahia uamuzi wa maahakama...at last wameondoka na matatizo!!
Hivi na Tarime kuna elements za UCDM tena? Naona wewe dada bado memory yako ipo nyuma sana!!Wewe wasema! Mbeya, Kigoma,Dar,Tarime,Iringa na Mwanza nako ni kaskazini sio ?!
"Maendeleo hayaletwi kwa kubahatisha, bali huletwa na mabadiliko, wewe na mimi(sisi) ndo tunaotakiwa kuleta mabadiliko"(nimeitafisiri kwa kiswahili, mtaniwia radhi kama nitakuwa nimepotosha). !
It does not matter, nani ameandika haya. ukweli ni kwamba ni ya hekima! tukae mkao wa kazi kuwaaibisha mafisadi tena!Hapana. Tupe Link, sina imani na hii, maana hata mimi kwenye page yake imekwenda
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Kenya wenzetu wameweza, sie bado tumelala wabongo bana!!