A way forward ni kuwa kitu kimoja CDM kuna shutma zinaizonga pengine ni propaganda tu za wenye kuchukia maendeleo ya CDM lakini hakuna hata siku moja CDM imekanusha au kutolea maamuzi ambayo yatawafanya watu wapuuze shutma hizo.
1. Kuwa CDM ni chama cha kikanda na hata wabunge wake wengi ni wa kutoka kanda fulani.
2. CDM ina mkono wa kanisa (hapa nakumbuka shutma dhidi ya CUF wao walikuwa wanazikanusha ila kwa bahatio mbaya au sijapata kusikia popote CDM wakikanusha hili)
Mabadiliko yatapatikana watanzania wakiwa wamoja bila kujali kanda zao/koo zao wala dini zao je CDM wapo tayari kuonyesha njia?
Mie siko tayari...........sasa nini kifanyike malizia kabisa..... tupe way foward
Mwanzo wa kitu huanzia location fulani, hata CHADEMA kilianzia kaskazini au waasisi wake wametoka kaskazini na wangeweza toka kusini au mashariki tatizo lako nini hapo. Basi chama kikianzishwa na watu wa kusini kitaitwa cha kanda ya kusini , Mashariki n.k? Na kama ni cha kikanda je kuna mtu toka kanda nyingine alishazuiliwa kuwa member simply haruhusiwi?. Hiv Mch. Msigwa , Sugu, Wenje, Mnyika woote ni wa kanda ya kaskazini? Hv Halima Mdee, zitto Zuberi Kabwe na wale wajumbe wa zenji ni Wakristo. Mkuu some time kama great thinker unatakiwa ufanye utafiti mwenyewe na siyo ku-support watu wa vijiweni; ukweli unatakiwa uwape ukweli na si wewe nawe kujichanganya na ujinga wakati we una maujanja na uwezo wa kupangua ujinga.
Yes you can, Mimi sioni tofauti yako na Kikwete zaidi ya Umri na rangi
Tunamuonea huruma Lema...jeuri yake ataipeleka wapi??
Ukinywa viroba na valeur lazima uwe na fikra hizi na kuzikazia na ndumu!Huwa natembelea mara nyingi ktk ukurasa wa Dr.Slaa ktk mtandao wa kijamii wa twitter, leo(samahani niko via mobile hivyo siwezi kuleta LINK) amekuja na ujumbe huu.
"Maendeleo hayaletwi kwa kubahatisha, bali huletwa na mabadiliko, wewe na mimi(sisi) ndo tunaotakiwa kuleta mabadiliko"(nimeitafisiri kwa kiswahili, mtaniwia radhi kama nitakuwa nimepotosha). Je Mtanzania mwenzangu uko tayari kuleta mabadiliko? Umepigika na maisha magumu?
Umechoka kubambikiwa kesi, kuuwawa na kuonewa na jeshi la polisi?, umechoka kuona mhimili wa dola(mahakama) inatumikia serikali, kupendelea wenye pesa ktk maamuzi?, umechoka kuona bunge letu likigeuka taasisi ya CCM?, uko tayari kuona wachache wakivuna rasilimali za Taifa huku wengi tukiteseka kwa umasikini wa kutupwa?
Je umeridhika kuona hali ya elimu ya vijana wetu ilivyo sasa(unaweza kushindwa kutofautisha vijana waliomaliza kidato cha 4 na yule wa drs V11)? Nawasilisha!!!!!!
Lema alipata kura 2010 kwa sababu watu walikuwa hawamfamu. Kwa kipindi hiki cha mwaka na nusu watu wamemfahmu Lema ni mtu wa aina gani. Wameona matatizo aliyowaletea, vurugu za kila siku na kurudi nyuma kwa maendeleo ya Jimbo la Arusha mjini. Kwa sasa hawawezi kurudia tena kosa walilolifanya 2010. Watu wengi sana wamefurahia uamuzi wa maahakama...at last wameondoka na matatizo!!
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama
Safiii sana sisiemu wasubiri kifo arusha mjini.
A way forward ni kuwa kitu kimoja CDM kuna shutma zinaizonga pengine ni propaganda tu za wenye kuchukia maendeleo ya CDM lakini hakuna hata siku moja CDM imekanusha au kutolea maamuzi ambayo yatawafanya watu wapuuze shutma hizo.
1. Kuwa CDM ni chama cha kikanda na hata wabunge wake wengi ni wa kutoka kanda fulani.
2. CDM ina mkono wa kanisa (hapa nakumbuka shutma dhidi ya CUF wao walikuwa wanazikanusha ila kwa bahatio mbaya au sijapata kusikia popote CDM wakikanusha hili)
Mabadiliko yatapatikana watanzania wakiwa wamoja bila kujali kanda zao/koo zao wala dini zao je CDM wapo tayari kuonyesha njia?
Alietengua ubunge wa Lema ndie alisema anaweza kushiriki, atakeweka pingamizi la kushiki basi inabidi atangulize pingamizi la kuvuliwa ubunge. Sioni kama kutakuwa na pingamizi kwani jaji amesema Ruksa though unaweza kuwa mtego labda wanasheria watusaidie hapaNakutuma kawaambie ccm hivi wanazo t actics 2 ambazo majibu yake nimeambatanisha.
1. Mahakama imeamuliwa itengue ili Chadema waende mahakamani na kwa kufanya hivyo mahakama itazungusha kesi hadi 2014 kisha Lema atashinda ila atakuwa na mwaka mmoja wa kufanyakazi hivyo watapata kitu cha kuongea kwenye kampeni za 2015 kuwa Lema alikalia vurugu na kesi tu kipindi chote cha ubunge wake hivyo hajadeliver.
Jibu: chadema hawaendi mahakamani wanakubali ngoma irudiwe ikiwa mbichi. Hapo ndo ccm watajinyea maana wanazikwa huko kaskazini kabisa.
2. chadema wakimrudisha Lema kugombea, ccm wanaweza kuja na hoja mahakamani kuwa hana sifa za kugombea
Jibu: Chadema kazi ni moja ni kuwamaliza ccm, kamanda Lema atakubali kuachia na kurudi kwenye ofisi ya chama Ili kujenga chama. Je wajua ni jembe lipi litasimama badala ya Lema? Chadema lazima itumie silaha zake za mwisho za mapambano ilimradi ccm wafutike kabisa........Dr. Slaa ni lazima atapeperusha bendera ya CDM Arusha na hapo ndipo kitakuwa kilio na kusaga meno !
Chadema wamejipanga ni kazi kwao CCM kuchagua kipi rahisi kwao kwenye hili.
lakini kumbuka pia chadema wanafurahia zaidi kitendo cha leo maana wanaendelea na kazi yao badala ya usumbufu wa kuomba kibali cha mikutano ya kuwaelimisha watanzania..
Kumbuka pia wakati huu masikio ya wanatanzania bado yako Arumeru na yatabaki hapo Arusha wakipata somo.
Hakuna namna yoyote itakayoishinda nguvu ya umma na haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa tu!
Mungu ibariki Chadema,Mungu ibariki Nchi yetu!
A way forward ni kuwa kitu kimoja CDM kuna shutma zinaizonga pengine ni propaganda tu za wenye kuchukia maendeleo ya CDM lakini hakuna hata siku moja CDM imekanusha au kutolea maamuzi ambayo yatawafanya watu wapuuze shutma hizo.
1. Kuwa CDM ni chama cha kikanda na hata wabunge wake wengi ni wa kutoka kanda fulani.
2. CDM ina mkono wa kanisa (hapa nakumbuka shutma dhidi ya CUF wao walikuwa wanazikanusha ila kwa bahatio mbaya au sijapata kusikia popote CDM wakikanusha hili)
Mabadiliko yatapatikana watanzania wakiwa wamoja bila kujali kanda zao/koo zao wala dini zao je CDM wapo tayari kuonyesha njia?
Upo Karatu, meru au Moshi? huko ndiko zipo highly demanded! Kwingine hamna mtu anataka kukisikia hicho chama