Elections 2010 Dr. Wilbroad Slaa wa Chadema ampiga chenga Dr. Willbard Slaa wa CCM-Karatu

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Kama hii ilikuwa mbinu yao, CCM kwishneiy, eti wamemchagua mtu mwenye jina kama la aliyekuwa mbunge wa Karatu ambaye sasa ni mgombea urais wa Chadema Dr. Wilbroad Slaa kugombea jimbo hilo.

Mgombea ubunge wa CCM anaitwa Dr Willbard Slaa wakati yule original wa Chadema ni Dr. Wilbroad Slaa, tofauti ipo ndogo sana kwenye majina ya kwanza.

Sijui kama ni coincidence au ni strategies za CCM kulichukua jimbo la Karatu, kama ni strategy lazima wazo hilo ni la Makamba, kwa akili aliyonayo alidhani watu wangechanganya majina. Lakini Slaa the original si mjinga kiasi hicho kawapiga CCM chenga ya mwili.
 
CCM picks Dr Slaa's namesake for Karatu constituency

From MARC NKWAME in Arusha, 2nd August 2010 @ 12:10 , Total hits: 1049

WHETHER it is by coincidence or CCM's strategy, the party has nominated a person known as Dr Willbard Slaa to vie for the Karatu constituency in Karatu District, Arusha region.

The new CCM's candidate's names and title sound like the names of the former Karatu MP, Dr Wilbroad Slaa who is now running for presidency on the opposition CHADEMA ticket.

The choice of Dr Willbard Slaa to compete for the seat formerly occupied by Dr Wilbroad Slaa, according to observers, here will give the opposition party, CHADEMA, a difficult time during campaigns in the area and may even confuse some voters who in the past 15 years have been used to the name ‘Slaa' as their representative to the National Assembly.

In Manyara, Mr Christopher Ole Sendeka, was once more nominated to run for the Simanjiro Constituency by leading in 15 out of the 18 wards of the vast District.

Minister Philip Marmo was again allowed to compete for the Mbulu area seat where he may face CHADEMA's Mustafa Akonaay as his major opposition competitor.

Dr Mary Nagu, also retains her party's blessing to represent CCM in the Hanang' constituency in Manyara region.
 
Kama hii ilikuwa mbinu yao, CCM kwishneiy, eti wamemchagua mtu mwenye jina kama la aliyekuwa mbunge wa Karatu ambaye sasa ni mgombea urais wa Chadema Dr. Wilbroad Slaa kugombea jimbo hilo.

Mgombea ubunge wa CCM anaitwa Dr Willbard Slaa wakati yule original wa Chadema ni Dr. Wilbroad Slaa, tofauti ipo ndogo sana kwenye majina ya kwanza.

Sijui kama ni coincidence au ni strategies za CCM kulichukua jimbo la Karatu, kama ni strategy lazima wazo hilo ni la Makamba, kwa akili aliyonayo alidhani watu wangechanganya majina. Lakini Slaa the original si mjinga kiasi hicho kawapiga CCM chenga ya mwili.

tehetehetehe

wana uhusiano gani hawa? pia tunaomba na CV yake kwa wenye nayo
 
nimejaribu ku google lakini sijapata data nzuri zaidi ya hizi za kura ya maoni. lakini nafikiri pia huyu bwana naye ni popular.
http://www.dailynews.co.tz/election/index_news.php?articleID=114
"In Karatu, the stronghold of the opposition, Chadema, CCM candidate who emerged victorious is Dr Willbard Slaa Lorri who scored 10,685 votes and defeated the opponent, Sixbert Hhami who recorded 4,893 votes followed by John Bora Dodo with 568 votes. The incumbent Michael Lekule Laizer of Longido won a landslide victory scoring 17,557 votes against his two opponents, Francis Ndipapa Ole Ikayo with 2,079 votes and Kashuma Sayalel Laizer with 214 votes. "
http://www.dailynews.co.tz/election/index_news.php?articleID=114
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom