The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
Mwaka huu 2012 pekee kuna zaidi ya watu 75 walichomwa moto hadharani kwa tuhuma za wizi na zaidi ya Zeruzeru 90 walipoteza viongo vyao au kuuliwa kwa kukatwa mapanga na watu ambao wengi wanajulikana, hadi sasa hakuna mtu yoyote amepelekwa mahakamani.
Hii imeonyesha wazi kuwa Judicial system ya nchi yetu haiko(Fair) sawa, kwa hiyo siwezi shangaa watu wengi kuanza kuchukua sheria mikoknoni, na hili litaendelea kama hatuwa muhimu hazitochukuliwa, pamoja nakuwa na fair system yenye uwezo wa kusikiliza wote wanaohisi maonevu
Panapo vunjwa KIOO cha Kanisa, Sheria zinafatwa (in full swing) na nguvu zote za dola. Hivi ninapo andika watu zaidi ya 200 wamewekwa ndani kwa kuvunja vioo vya kanisa la Mbagala, Hakuna hata mmoja tongea wezi na mazeruzeru tokea tupate uhuru kawekwa ndani kwa mauwaji ya aliki wasio na hatia.
Nikweli serikali haina Dini, lakini niwazi serikali (iko-influenced) inafuata ridhaa ya wengi wenye dini Fulani wanaodai ndio wasomi kutekeleza wajibu wake.
Sasa niwakati wa kuhakikisha hizi Basic Human right principles zinafuatwa kwa nguvu zote Bila kujali maslai ya kanisa pekee, bali haki kwa kila mtu, kuanzia Vikojozi Christian, Wachomaji, Wachokozi wanaozika watoto wao kwenye Makaburi ya Waislam, Mafisadi, Wauwaji wa Albino na Wachakachuaji
wa Mitiani
Kwakweli hata kama ni taarifa tu hii non sense lamentation 'ni Mungu gani anaeokoa kwa upanga au mkuki?'