heri wewe umesema! mkuu wengine hawafahamu kwamba kuna wengine wao hupandia juu ya wenzao ili wasikike... kama hakuna mtu wa kupandia na wao hubaki chini. Hivi kwanini hawakemei kabla majambo hayajawa? wanasubiri yakitokea ndio tunawasikia... si watufundishe haki zetu kabla hatujafikwa kama kweli wanatujalisasa kakusaliti wewe kwa lipi?
kama kuteswa aliteswa yeye
akiamua kusamehe wewe umesalitiwa vipi?
madaktari si wana viongozi wengine?
angekufa je.wangeacha kudai madai yao?
Muache atazame maslahi ya mkewe na watoto....wake
wewe kama una ukereketwa haswa endesha mapambano,hakuna aliekuzuia...
Hakuna cha usaliti, Serikali ilitimiza masharti yote.
sasa kakusaliti wewe kwa lipi?
kama kuteswa aliteswa yeye
akiamua kusamehe wewe umesalitiwa vipi?
madaktari si wana viongozi wengine?
angekufa je.wangeacha kudai madai yao?
Muache atazame maslahi ya mkewe na watoto....wake
wewe kama una ukereketwa haswa endesha mapambano,hakuna aliekuzuia...
kashaongoea toka akiwa hospitali mnataka aongee nn tn acheni chokochoko hizo wasaliti madaktari wenzie cio yeye
sasa kakusaliti wewe kwa lipi?
kama kuteswa aliteswa yeye
akiamua kusamehe wewe umesalitiwa vipi?
madaktari si wana viongozi wengine?
angekufa je.wangeacha kudai madai yao?
Muache atazame maslahi ya mkewe na watoto....wake
wewe kama una ukereketwa haswa endesha mapambano,hakuna aliekuzuia...
Yu wapi sasa? Yu wapi atueleze ukweli wa madhila aliyotendewa? Yu wapi aweke wazi majina ya watesaji na sababu zilizowafanya wamtese? Yu wapi aseme kama Msangi,RAMA AU mkenya alikuwapo matesoni mwake? Yu wapi amtaje aliyempora wallet yake? Yu wapi atoe tamko juu ya hatma ya walivyokuwa wanadai kama Madaktari? Hayupo. Kimyaaaaa. Ni msaliti.
jamani acheni huu upuuzi.Yu wapi sasa? Yu wapi atueleze ukweli wa madhila aliyotendewa? Yu wapi aweke wazi majina ya watesaji na sababu zilizowafanya wamtese? Yu wapi aseme kama Msangi,RAMA AU mkenya alikuwapo matesoni mwake? Yu wapi amtaje aliyempora wallet yake? Yu wapi atoe tamko juu ya hatma ya walivyokuwa wanadai kama Madaktari? Hayupo. Kimyaaaaa. Ni msaliti.
Yu wapi sasa? Yu wapi atueleze ukweli wa madhila aliyotendewa? Yu wapi aweke wazi majina ya watesaji na sababu zilizowafanya wamtese? Yu wapi aseme kama Msangi,RAMA AU mkenya alikuwapo matesoni mwake? Yu wapi amtaje aliyempora wallet yake? Yu wapi atoe tamko juu ya hatma ya walivyokuwa wanadai kama Madaktari? Hayupo. Kimyaaaaa. Ni msaliti.