Dr. Ulimboka: Damu yangu iliyomwagika ikawe chachu

Na wewe ulipwe kila unalostahili kwa kutoa uhai wa wagonjwa wa Tanzania walio wengi na kuwakosesha haki yao ya msingi ya kuishi na kuendelea kuteseka vitandani wasijue wapi pa kutibiwa.

Kama ungekuwa kweli unawatetea Watanzania usingekimbilia nje mbio mbio kwenda kutibiwa. Ungekaa hapahapa kuonesha ujasiri wako na uyahisi yanayowasibu Watanzania kwa kuhamasisha mgomo kwa manufaa yako na wajivuni wengine wachache wanaojiona wao ni miungu watu.
zomba mbona unapingana na tamko la serikali kwamba mgomo haukuwa na madhara!
Unaongeleaje watoto wachanga kukosa oxygen kwa sababu vifaa hakuna au vifaa vipo lakini umeme hakuna,yote haya kwa sababu kuna wachache wanaokwapua rasilimali zetu halafu tukiwakamata tunawasamehe.
 
[h=6]mapambano haya ni ya kupigania haki kwa wanyonge.damu yangu iliyomwajika ikawe chachu ya ninyi mliobaki kuendeleza mapambano dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu na unyanyasaji kwa wanyonge wa taifa hili.....kauli hii kaitoa dr.ulimboka kabla ya kupandishwa kwenye ndege kwenda s.africa kwa matibabu.[/h]
 
Ziada ya kipato kukipata kupitia roho za watu huu ni ufreemasons,najiuliza kama mlikuwa hivyo mmefuata nini huko afya,iko wapi kujitolea kwenu kwa ajili ya afya zetu,politcs in profesionals is more harmful than expired medics,
lol drs
 
Wapo watanzania wengi hadi muda huu wanakufa kwa kukosa huduma mahospitalini.
 
Kwa maneno uake Dr ULIMBOKA
ametoa kauli ya kishujaa na kutia shime na hamasa katika mapambano
yanayoendelea ya kudai haki katika kuboresha huduma za afya na maslahi
ya madaktari

"Naelekea nje ya nchi kwa matibabu, nawasihi madaktari wenzangu
wanaobaki waendelee ma mapambano ya kudai haki ambayo kimsingi bado
haijapatikana, nawaomba damu yangu iliyomwagika ikawe chachu na hamasa
katika harakati hizi za kudai haki, asanteni sana"

Source: ITV HABARI


Dah! K....make JK!

Anaua ili apendwe!

Sumaye alitabiri haya kuwa..anaetumia kalamu kuchafua wenzake ili aingie ikulu, siku akiingia ikulu atatumia risasi kutawala! Yametimia.
 
Na wewe ulipwe kila unalostahili kwa kutoa uhai wa wagonjwa wa Tanzania walio wengi na kuwakosesha haki yao ya msingi ya kuishi na kuendelea kuteseka vitandani wasijue wapi pa kutibiwa.

Kama ungekuwa kweli unawatetea Watanzania usingekimbilia nje mbio mbio kwenda kutibiwa. Ungekaa hapahapa kuonesha ujasiri wako na uyahisi yanayowasibu Watanzania kwa kuhamasisha mgomo kwa manufaa yako na wajivuni wengine wachache wanaojiona wao ni miungu watu.

nikionaga id yako naskiaga kichefuchefu,. Yani sjui nikiliona lisura lako ntatapika make unandikaga uhalo uliopitiliza
 
Serikali imetenga mabilioni kwa ajiri ya kuajiri madaktari kutoka Iran na sijui wapi kule.,...
Ndahani ni sh 200 bil zimetumika kuleta madaktari wageni, sijui kama next month watu tutapata salary manake, kwa kufuata data mishahara ya jan - april mwaka huu tulikopewa na hata mh. zitto alilisema but ikaonekana anaongea uongo tena Mkulo alijifaragua kweli. haya yalikuwa ni matokeo ya pesa nyingi sana ambazo zilitumika katika kufanya sherehe za miaka 50 ya uhuru.

ukikaa ukiwaza as citizens tulipaswa kusema kitu hapa kwani hakukua na faida yeyote tusherekee halafu turudi kuteseka. Sasa mark my words mishhara ya mwezi huu wa saba utaona haya ndiyo mambo ambayo tunapaswa kuyajadili. fikiria Ulimboka kapelekwa nje kwa sh like 90 mil je serikali ikiweka hizi 200 mil hosp ingekuwa ndogo? kama ni kweli tunawaza vizuri?
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa umepangiwa kufa UTAKUFA TU HATA MGOMO USIWEPO..... satisfied.... ur a failure....!!! 100% & even u failed to understand nani chanzo cha mgomo... ni serikali.... Hivi madaktari wadai vifaa na maslahi kidogo sana say around tshs 21 billions increment SASA AJABU HUJUI ETI SERIKALI IMETENGA TSHS 200 kuleta madr kutoka nje..!!!!!!!!!!!!!!!!?????????? ujue hii ndio upuuzi na ww unatetea

Mkuu Mr. President ulichoongea ni sawa, lakini akifa kwa kukosa huduma inauma zaidi kwasababu kichwani kwako kutakuwa na mawazo kuwa, kama angetibiwa angeweza pona.

I hate my Government for not solving this, but I'm not supporting this Mgomo.:A S cry:
 
Last edited by a moderator:
zomba mbona unapingana na tamko la serikali kwamba mgomo haukuwa na madhara!
Unaongeleaje watoto wachanga kukosa oxygen kwa sababu vifaa hakuna au vifaa vipo lakini umeme hakuna,yote haya kwa sababu kuna wachache wanaokwapua rasilimali zetu halafu tukiwakamata tunawasamehe.

Huwezi kutetea uovu kwa uovu hata siku moja. Kwanza huo ni uzushi, ukitetea haki ya matibabu usiingize madai ya mafao na mapato yako, inakuwa hujafanya kitu. Sasa wewe udai mafao zaidi na gas zaidi? wacheni hayo, kuweni wakweli.
 
Npendekeza pia ibuniwe namna ya kumuenzi Dr.Ulimboka ili abakie kwenye Historia ya upiganiaji wa Mazingira bora ya Afya kwa watanzania. Sina pendekezo la vipi tumuenzi, ila kupitia Jumuiya/Vyama vya Madaktari nchini, Chama cha wafanyakazi, watetezi wa haki za binadamu, watanzania wazalendo nk. tubuni namna ya kumuenzi kwa namna alivyojitoa katika kutetea Mazingira bora ya afya na hata kupelekea kumwaga damu na maumivu makubwa kutokana na kuteswa kikatili kwaajili ya msimamo/kuongoza harakati za mabadiliko. Vilevile jina hili libakie katika Historia ili iwe kama kielelezo cha kukumbushana kwenye mamlaka mbalimbali ni namna gani tunaweza kushughulikia mambo ya nayohusu Afya na mengineyo kwa uangalifu mkubwa na kuzuia athari zinazoweza kujitokeza kama tulizonazo sasa.
 
na wewe ulipwe kila unalostahili kwa kutoa uhai wa wagonjwa wa tanzania walio wengi na kuwakosesha haki yao ya msingi ya kuishi na kuendelea kuteseka vitandani wasijue wapi pa kutibiwa.

Kama ungekuwa kweli unawatetea watanzania usingekimbilia nje mbio mbio kwenda kutibiwa. Ungekaa hapahapa kuonesha ujasiri wako na uyahisi yanayowasibu watanzania kwa kuhamasisha mgomo kwa manufaa yako na wajivuni wengine wachache wanaojiona wao ni miungu watu.
mmefilisika fikra zenu, mmeshiba rushwa hata fikira zenu zinatokea tumboni...shame on you...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom