mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
ninachojiuliza ni kua hawa watu wanasema wanafanya uchunguzi lakini wanafanya uchunguzi bila kumhoji muhusika mwenyewe...mi ndio sielewi hapo...Uchunguzi unatakiwa uanze kwa mhusika mwenyewe aeleze anachojua then waanzie lakini jamaa huu mwezi wa ngapi eti uchunguzi unaendelea wakati muhusika mwenyewe mkuu hata hajahojiwa...bongo bana