Issue hapa nadhani,si TAARIFA kutolewa na Dr.Ulimboka issue ni UWAJIBIKAJI:
-Clip ya Youtube haikuwepo?
-Magazeti hatukusoma?
-Watu hawakusimamishwa kazi mashirika ya simu kwa kutoa taarifa?..Hatukusikia?
-"Tume huru"haikuundwa kwa Dr. Ulimboka's saga?...ilitupa majibu ingawa walikuwa wakilipwa kwa uchunguzi?
Tulitegemea kwa mateso aliyoyapata, taarifa aliyoitoa, kwa maandishi na video..Dr.Ulimboka atasema TOFAUTI na Hicho???!
-Ukweli ni kwamba watanzania tunatumia NGUVU, AKILI, PESA nyingi kuutafuta Ukweli, halafu tukiujua TUNAISHIA HAPO!Kuufanyia kazi "tunadhani" si jukumu letu!
Okay, tunasema amechelewa, amechelewa KITU gani?
wauaji wa barlow wakikamatwa nategemea Ighondu atakuwa ndani kuwapokea.
Tanzania haiishiwi matukio mafupi mafupi yasio na kichwa wala miguu
huyu jamaa bana.........mpaka tumesahau..........
Ndo report hyo
Tanzania haiishiwi matukio mafupi mafupi yasio na kichwa wala miguu