Sema Chilo
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 324
- 24
Na tusishangae huyo afande akawa kiongozi au mjumbe wa TUME ya uchunguzi inayotarajiwa kuundwa na Kova
Du huyu Msangi, Mpare aliyetoka Dodoma akaenda Moro baadae Dar hii kali naona Dr atawatambua wote wauaji wake na nani kawatuma kwa Dau gani
Dr Ulu ugua pole
Basi atakuwa amepata matatizo kwenye brain , hiyo ni kawaida kwa mtu aliyeumia kichwani kuchanganya habari.
Mkuu hii imetoka kwenye magazeti ya leo. MiaHabari hii nani anaweza kuihakikisha , kwani saa ingine uzushi una hasara zake,hapo ndani ulikuwepo peke yako ,mpasie Mwanakijiji hii issue aichunguze ,haifai kupotoshana katika critical condition za amani ya Taifa.
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)
Jamani huyu muhusika amefahamika tayari na atatakiwa awataje wenzake.tumeweka vizuri utetezi wetu kwani lazimaKamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)