Tiba ya mtoto mdogo anaye stuka stuka usingizini:
Chukua dawa inayoitwa mvuje, halititi na kibiriti upele zitwange kisha roweka katika maji kwa muda wa saa kisha muogeshe mtoto kwa maji ya dawa asubuhi, mchana, na jioni.Inshaallah ataacha kushtuka. tumia kisha uje hapa unipe Feedback. MziziMkavu Adharusi
Tiba ya mtoto mdogo anaye stuka stuka usingizini:
Chukua dawa inayoitwa mvuje, halititi na kibiriti upele zitwange kisha roweka katika maji kwa muda wa saa kisha muogeshe mtoto kwa maji ya dawa asubuhi, mchana, na jioni.Inshaallah ataacha kushtuka. tumia kisha uje hapa unipe Feedback. MziziMkavu Adharusi
Mpeleke kwa babu yake Moshi na mbuzi bila kusahau debe la mbege mkirudi mjini atakuwa poa kabisa.
Mkuu Mvuje kwa kiingereza unaitwa (Asafetida) angalia picha yake hapo chini:Dr wangu nimeongea na sister,kaniambia haujui Mvuje,Halititi,na Kibiriti upele(ila mi nilihisi labda ni njiti ya kibiriti)