Elishaosati
Member
- Oct 31, 2010
- 8
- 5
- Thread starter
- #21
Ulimboka anarudi leo Jumapili saa sita mchana, Ndugu hatuwezi tukaishi kwa uoga siku zote,hata kwenye page ya MAT hao maadui wapo, hakuna namna utakao wapa madaktari taarifa wasijue, hata simu zetu wanarekodi. mimi sioni haja ya kuogopa tena baada ya haya yote yaliyotokea. Twende tukampokee father of Medicine Dr.Ulimboka