Sita zaidi.
DR Slaa amesema BW S Sita alikkwenda mwemyewe CDM kutaka kujiunga , yeye amejibu walimfuata na baada ya kusoma katiba ya CDM akaona awezi tena kujiunga nao. HAYA NANI ANASEMA KWELI.........?
kama kulikuwa na mawasiliano ya simu, muarubaini ni tcra...waende kule tutajua mbivu na mbichi!