chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo anatarajia kufanya ziara ya kuimarisha chama mkoani Shinyanga kuanzia Tar.16/04/2012.
Atatembelea pia Jimbo la Mbongwe ambapo atakagua jengo jipya la chama lililo fadhiliwa na Bwana M.Sabodo na kufanya mikutano ya ndani na ya Hadhara. Habari hii imedhibitishwa na uongozi wa Chadema kahama, shinyanga na mbongwe
Leo pia hapa mjini kahama timu ya YANGA (wanandondi) itakuwa hapa kucheza mchezo mmoja ikiwa njiani kuelekea Mwanza kucheza na Wanae Toto Africa
Atatembelea pia Jimbo la Mbongwe ambapo atakagua jengo jipya la chama lililo fadhiliwa na Bwana M.Sabodo na kufanya mikutano ya ndani na ya Hadhara. Habari hii imedhibitishwa na uongozi wa Chadema kahama, shinyanga na mbongwe
Leo pia hapa mjini kahama timu ya YANGA (wanandondi) itakuwa hapa kucheza mchezo mmoja ikiwa njiani kuelekea Mwanza kucheza na Wanae Toto Africa