Dr. Slaa wodini Muhimbili Hospital

na daktari atakayemfanyia upasuaji ni MALARIA SUGU........na tayari mezani kwake kuna faili linaloonyesha mgonjwa huyu anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa kichwa si chini ya mara tatu.....!
 
Mwenye uhakika atupe ujumbe tukamjulie khali. Wish him fast recovery Mr. Invisible President!
Mtu aliye nitonya alikuwa Hospitaln hapo jumapili mchana kumuona mama yake nae alikuwa kafanyiwa upasuaji na ndipo alipomuona Rais Slaa akiwa wodini hapo
na kuamua kunipa taarifa huku niliko. na kuhusu ulinzi nilipo uliza nikaambiwa ulinzi ni wa kutosha na ukiongeza wa Mungu ndo unakua imara zaidi hatuitaji ss ulinzi wa shekhe yahya pia akasema watu ni wengi sana wanaokwenda kumuona mpaka wanapewa zamu ya kuingia Wodini.
Mkuu kama uko karibu kamuone halafu utujuze.
 
Atapona tu Mungu amjaalie.
Nampenda Rais wangu Slaa ila ushauri ni kwamba apunguze kushiriki tendo lile tamu kwa kipindi hiki make inasemekana ukiwa unaumwa either mguu au mkono ucvisit sana kale kamchezo katamu so nahisi atakuwa anafanya hivyo.
Huu ni ushauri msiende mbali jamani Magreat Thinkers make hamchelewi kuipindua maada husika na kuanza kunishambulia mimi.
Namwomba azingatie hilo coz tunamhtaj sana sahz coz c mda tutaanza maandamano ya Nchi nzima kushinikiza upatikanaji wa katiba mpya sio mchakato waprolong mpaka uchaguzi ujao coz kwanijuavyo mm b4 dec2015 Dk wetu atakuwa Mtukufu Rais wa URT.
Ni hayo tu.

Ama kweli wewe utakuwa mtoto wa nje ya ndoa, bisha!!!! maana hiyo akili imekaa kingono ngono na kungonoka.
 
Wadau wa JF kunatetesi kuwa Rais wetu Dr. Slaa amelazwa toka juzi jumamosi kwa tatizo la mkono kuwa kafanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Muhimbili kitengo cha Mifupa(MOI). Tunaomba mtujuze kama ni kweli kuhusu tetesi hizi sisi tulio mbali na Dar es salaam.

TUPE SOURCE BABA USILETE SALA ZAKO HAPA HaZIFANIKIWI NGOOOO
 
Ni kweli alilazwa taasisi ya tiba ya mifupa muhimbili na ameruhusiwa muda huu wa mchana baada ya kufanyiwa upasuaji siku ya jumamosi.
 
@Zomba upo dunia gani ambaye aujui kuwa dr slaa(Phd) ni rais wa tanzania?mungu akubariki dr. upone ili uje kuendelea kuikomboa hii inchi kwenye mikono ya watu wanao fanana na kina zomba...........mungu ibariki tanzania,mungu mbariki dr slaaa.
 
Wadau wa JF kunatetesi kuwa Rais wetu Dr. Slaa amelazwa toka juzi jumamosi kwa tatizo la mkono kuwa kafanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Muhimbili kitengo cha Mifupa(MOI). Tunaomba mtujuze kama ni kweli kuhusu tetesi hizi sisi tulio mbali na Dar es salaam.

Hapo kwenye RED imekaa VIPI..?!! Mzee slaa mbona mwananchi tu wa kawaida kama wewe.

P.S Get well soon SLAA
 
Kamanda wa mabadiliko upone haraka kama ni kweli.. Tunakusubiri kwa ajili ya kuendeleza gurudumu la mabadiliko ya nchi hii.
 
Mungu amlinde Dr,na Rais wa nchi yetu Tanzania. Wasije tuu wakambadilishia na kumpa mkono wa Kikwete wa kufanya uuaji kwa wasio na hatia.
 
Bado hamjajibu swali,ni kweli yupo wodini? ama la hilo ndo swali la msingi,sasa mwa anza kutoa pole hata hatujui nini kinaendelea juu ya Dr Slaa,tusiwe ni watu wa kukimbilia kujibu kwa kuwa mada ipo

mkuu mimi sijui kama wodini ama la nami nasubiri jibu kutoka kwa wadau

mapinduziiiii daimaaaaaa
 
inabidi tumlinde wasije wakampiga kisindano kama cha mrema alivyotoka KCMC anataka Million mia tano , kisindano kilimzingua mpaka leo mgonjwa wakti alikuwa mzima
 
namtakia kupona haraka na ulinzi wa malaika kwa watu mungu anaowapenda na ambao amewachagua kwa ajili ya taifa hili uwe pamoja naye na aweze kupona haraka na mponyaji mkuu awe ni yesu madaktari wawe ni kutekeleza
 
inashangaza namna mtu anaweza kuzua habari ikapata wachangiaji wengi hivi. nani kathibitisha kwamba amelazwa?
 
Back
Top Bottom