JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,906
- 3,249
Kutokana na tetesi na maoni ya watu wengi ndani na nje ya JF yanayopendekeza na kushauri Dr. Slaa agombee ubunge, ni jambo zuri lakini binafsi nachukua fursa hii kumuomba, kama alikuwa na mpango huo au hata kama anapata ushawishi katika chama, namuomba sana aachane na mpango huo.
Kuna sababu nyingi lakini acha nitoe chache za msingi
1. Mahali popote penye mafanikio lazima kutatokea watu wasiopenda mafanikio yako licha kwa kutojionyesha kuwa hawapendi
2. CCM wana mbinu nyingi sana chafu ambazo najua bado hazijafutika kichwani kwako na kwa kila mtanzania kutokana na yaliyojitokeza kwenye uchaguzi uliopita(wizi wa kura) sasa usitarajie kuwa wameacha wizi
3. Kutokana na sababu hizo, kuna uwezekano licha atuombei, ukaja kushindwa kwenye hizi chaguzi za ubunge, bila shaka utakuwa umepoteza mvuto katika jamii, na ile ndoto ya watanzania kuwa utakuwa mgombea na hatimae kuwa rais ajae wa tanzania itakuwa imefutika.
Mwisho nikutakie kazi njema katika kujenga chama imara.
CDM DAIMA
Kuna sababu nyingi lakini acha nitoe chache za msingi
1. Mahali popote penye mafanikio lazima kutatokea watu wasiopenda mafanikio yako licha kwa kutojionyesha kuwa hawapendi
2. CCM wana mbinu nyingi sana chafu ambazo najua bado hazijafutika kichwani kwako na kwa kila mtanzania kutokana na yaliyojitokeza kwenye uchaguzi uliopita(wizi wa kura) sasa usitarajie kuwa wameacha wizi
3. Kutokana na sababu hizo, kuna uwezekano licha atuombei, ukaja kushindwa kwenye hizi chaguzi za ubunge, bila shaka utakuwa umepoteza mvuto katika jamii, na ile ndoto ya watanzania kuwa utakuwa mgombea na hatimae kuwa rais ajae wa tanzania itakuwa imefutika.
Mwisho nikutakie kazi njema katika kujenga chama imara.
CDM DAIMA