zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
- Thread starter
- #41
Pigia CCM peke yako ni haki yako. Heshimu haki ya wengine tunaokueleza wazi kuwa tutampigia slaa. Wizi wa CCM umedhibitiwa na utadhibiwa
.
mkuu hao mavuvuzela hawajui hatima yao Dr.Slaa akiingia ikulu coz wanategemea fadhila za kupewa ukuu wa wilaya na usimamizi wa miradi ya kifisadi.