Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
WanaJf,
Kuna mambo amabyo watu tunatakiwa kuwa serious.Yaani baadhi ya comments huku zinaonyesha ni kwa nini kiwango cha ufaulu kinashuka.Kumbe pengine tuna tatizo kubwa la kuelewa.Kuna mtu kaanzisha thread na kuwaingiza watu mkenge hasa wale wanaopenda kuona mgogoro ndani ya Chadema.Nawapa pole,hebu someni kitu kilichosemwa.Sasa sijui ni wapi chadema ilitangaza kwamba leo saa saba watawafukuza madiwani
Some other comments sucks,na nyingine zinachekesha tu.Hizi thread nyingine lengo lake ni kuhamisha attention ya watu ili wasijadili mambo mazito yanayolikumba taifa letu.Tena kuna thread nyingine kule ya kuhamasisha mapinduzi ya umma.Tuhamie kule tuachane na hizi trivial issues
Kuna mambo amabyo watu tunatakiwa kuwa serious.Yaani baadhi ya comments huku zinaonyesha ni kwa nini kiwango cha ufaulu kinashuka.Kumbe pengine tuna tatizo kubwa la kuelewa.Kuna mtu kaanzisha thread na kuwaingiza watu mkenge hasa wale wanaopenda kuona mgogoro ndani ya Chadema.Nawapa pole,hebu someni kitu kilichosemwa.Sasa sijui ni wapi chadema ilitangaza kwamba leo saa saba watawafukuza madiwani
Some other comments sucks,na nyingine zinachekesha tu.Hizi thread nyingine lengo lake ni kuhamisha attention ya watu ili wasijadili mambo mazito yanayolikumba taifa letu.Tena kuna thread nyingine kule ya kuhamasisha mapinduzi ya umma.Tuhamie kule tuachane na hizi trivial issues