M Mr Mayunga JF-Expert Member Jun 11, 2011 313 40 Feb 13, 2012 #41 Kwa cuf hapana,chama kinaiponda sana chadema! Labda chadema hebu kaeni na hivyo vyama vidogo kwanza,muwe kitu kimoja.
Kwa cuf hapana,chama kinaiponda sana chadema! Labda chadema hebu kaeni na hivyo vyama vidogo kwanza,muwe kitu kimoja.
M Marytina JF-Expert Member Jan 20, 2011 9,285 7,143 Feb 13, 2012 #42 tatizo CUF hawana hoja hawapingi mambo kwa hoja bali visasi na historia historia zisizosaidia cuf ni pumba tupu kwa hiyo hamna haja ya kuingia mapumba ndani ya cdm think of maalim seif anakuwa rais atatusaudia kwa kipi ?
tatizo CUF hawana hoja hawapingi mambo kwa hoja bali visasi na historia historia zisizosaidia cuf ni pumba tupu kwa hiyo hamna haja ya kuingia mapumba ndani ya cdm think of maalim seif anakuwa rais atatusaudia kwa kipi ?