Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,614
Wassira sijui anafanya nini pale ikulu. Mii siku nikikutana nae namtandika jiwe ili akafanyiwe plastic surgery awe handsome??
Unarudia makosa yale yale. Wassira amefanya personal attack badala ya kuuza sera, na wewe unalipiza personal attack badala ya kujibu/kuchangia hoja