Mambo yanabadilika kuanzia kesho....lets wait and see!
Namsikitikia sana Slaa!
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na huyo Kengemaji tuko naye hafurukuti. Anapima tu akili za watu, he is a politician in such, therefore hana mlango wa kuikimbia/kuchukia siasa.
wewe kwani lazima uchangie?? Maana kila ukitoka ni mashudu pia pumba kibao, duh unaboa mkuu, fikilia kabla ujawasilishamambo yanabadilika kuanzia kesho....lets wait and see!namsikitikia sana slaa!
uyu ndo our presidar, basi tu mizee ya magamba miccm ilimchakachua
Tumechoka kuwaona mara WASIRA kasema hivi...mara huyu DR.SLAA ndiyo Rais wetu! zote hizi ni mbwembwe za kampeni tu...Ikifika siku ya uchaguzi ndiyo tutaju bana tumechoka hizi thread zenu za muwamba ngozi.
kama umechoka usizisome fanya shughuli nyingine au anzisha yakoTumechoka kuwaona mara WASIRA kasema hivi...mara huyu DR.SLAA ndiyo Rais wetu! zote hizi ni mbwembwe za kampeni tu...Ikifika siku ya uchaguzi ndiyo tutaju bana tumechoka hizi thread zenu za muwamba ngozi.
Silaa ni raisi wa wananchi kikwete ni raisi wa mafisadi na na polisi.
Jisikitikie nafsi yako. Slaa is OKMambo yanabadilika kuanzia kesho....lets wait and see!
Namsikitikia sana Slaa!
lete na picha kwa wale walioko Meru tuone wengine hatujaona ITV walau tuamini kama ni kweli.
kama umechoka unaingia JF kufanya nini ? na kushauri pumzika na familia yako salama hapa waachie wenye nguvuTumechoka kuwaona mara WASIRA kasema hivi...mara huyu DR.SLAA ndiyo Rais wetu! zote hizi ni mbwembwe za kampeni tu...Ikifika siku ya uchaguzi ndiyo tutaju bana tumechoka hizi thread zenu za muwamba ngozi.