Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 831
- 184
Hakika hakuna utakalonieleza kuhusu Dr Slaa na urais ambao alipewa na Watanzania tarehe 31st Oct 2010.Kumbuka hakika nilizunguka Tanzania yetu hii kipindi chote cha Kampeni nikaona maajabu watanzania wanamwona Dr Slaa wanatoa machozi kwa furaha.Hakuna jinsi utanieleza eti tarehe 31October 2010 hawakumpatia Dr Slaa kura.Nilipata fursa pia ya kufuatilia matokeo kwenye vituo ukweli ni kwamba kila mahali hata Kituo cha majumuisho Masaki na Osterbay Dr Slaa alikuwa anaongoza.Kwa miaka mitano sasa hadi 2015 Dr Slaa ndie rais wa moyo wangu.