Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,571
Wanabodi,
Kwa mlioangalia local TV zetu za bongo leo, Rais Jakaya Kikwete na Dr. Wilbrod Slaa wameonekana waki walk, hand in hand, bega kwa bega na kuwa karibu kwa wakati wote with genuine smiles kwenye nyuso zao, hali iliyowafanya kuonekana kama marafiki wa siku nyingi, na ni watu wanaopata na kuelewana sana, kwa kifupi walikuwa dam dam.
Hali hiyo imeshamiri leo katika matembezi ya vodacom kuchangisha fedha za kutibu fistula kwa kinamama katika hospitali ya CCBRT ambapo rais JK alikuwa mgeni rasmi, na mwenyeji wake ni Dr.Slaa ambaye ni Mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo!.
My Take.
"Mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa....
Wananifanya nakuwa na amani sana moyoni mwangu.
Amani, utulivu, ustawi na mustakabali wa taifa hili, unawategemea sana, wawili hawa!.
Pasco.
Kwa mlioangalia local TV zetu za bongo leo, Rais Jakaya Kikwete na Dr. Wilbrod Slaa wameonekana waki walk, hand in hand, bega kwa bega na kuwa karibu kwa wakati wote with genuine smiles kwenye nyuso zao, hali iliyowafanya kuonekana kama marafiki wa siku nyingi, na ni watu wanaopata na kuelewana sana, kwa kifupi walikuwa dam dam.
Hali hiyo imeshamiri leo katika matembezi ya vodacom kuchangisha fedha za kutibu fistula kwa kinamama katika hospitali ya CCBRT ambapo rais JK alikuwa mgeni rasmi, na mwenyeji wake ni Dr.Slaa ambaye ni Mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo!.
My Take.
"Mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa....
Wananifanya nakuwa na amani sana moyoni mwangu.
Amani, utulivu, ustawi na mustakabali wa taifa hili, unawategemea sana, wawili hawa!.
Pasco.