Elections 2010 Dr. Slaa nyanda za Juu Kusini: Songea, Iringa, Mbeya (picha na habari)

taarifa zimfike,jakaya kikwete akiwa singida,slma kikwete akiwa manyoni,ridhiwan kikwete akiwa iringa,kinana akiwa maakao makuu ccm lumumba dar,miraji kikwete mweka hazina wa kampeni za babake,makamba wa bumbuli,ndg,jamaa na marafiki wa rais anayemaliza muda wake
 
taarifa zimfike,jakaya kikwete akiwa singida,slma kikwete akiwa manyoni,ridhiwan kikwete akiwa iringa,kinana akiwa maakao makuu ccm lumumba dar,miraji kikwete mweka hazina wa kampeni za babake,makamba wa bumbuli,ndg,jamaa na marafiki wa rais anayemaliza muda wake
Na mazishi yatafanyika trh 31/10/2010 kwenye makaburi ya NEC.
 
Kuna kajanja kamoja kachwara kanadai kanatoka Iringa kamethubutu kutoa tathmini ya Uchaguzi wa October 31 kuwa Dr. Slaa ataambulia nafasi ya tatu baada ya Kikwete na Lipumba ! - sidhani kama hiyo Iringa yake ndio hii tunayoishuhudia hapa. Shame on you Maggid Mjengwa.

Hata hivyo tusimpuuze, hapa kuna ajenda ya siri kwani matamashi ya jana ya Shimbo yanathibitisha hilo. Pamoja na hayo nina hakika mipango hii miovu ya kutaka kuleta machafuko nchini kamwe haitaweza kufua dafu mbele ya nguvu ya Umma kama giza lisivyoweza kustahimili mwanga.

Peoples Power will always prevail !
 
Habari za kuaminika ni kuwa Dr Slaa atakuwa akifanya mikutato ya kampeni katika mji wa kyela kesho tar 3-10-2010. Kabla ya mikutano ya Dr slaa itakayofanyika vijijini, atafanya mkutano mkubwa Kyela mjini. Wote wenye mapenzi mema na Tanzania mnapaswa kuja kumsikiliza.

Asante Tall kwa taarifa. Ni imani yangu kuwa kesho utatujuza matukio yote ikiwa ni pamoja na kutuwekea clips zinazoonyesha matukio haswa ya vijijini. Kazi unayofanya ni nzuri kaka
 
Mrema kwa ujuha wake alishindwa kuifanyia kazi imani hii kubwa ya wananchi juu yake akawa anaharibu kila aendake ndo maana IKALA KWAKE

Sijapata kuona mwanasiasa mwerevu na mwenye hekima kama Dr. Slaa. Ni mtu anayeipenda Tanzania kwa moyo ndo maana hakupanga kugombea lakini alipoombwa alijitolea. Huyu ndiye Nyerere aliyemsema kwamba Ikulu haikimbiliwi ni mzigo. Lakini leo tunaona who is dying for IKULU. nakuambia Dr. Slaa asingeombwa kugombea wala asingejitokeza kamwe ila kwa kuwa tumemtaka achukue hatamu za kutuvusha hapa tulipo kwenda kwenye tanzania bora basi amekubali na anaifanya vyema kazi yake.

Sijapata kuona kwa mara ya kwanza kuona vyombo vya dola vikifanya kazi kwa maslahi ya watawala kama sasa. Siamini kwamba TISS wametumwa mikoani kwa ajili ya maslahi ya CCM. inaonesha nani ananufaika na watawala wabovu. sio viongozi peke yake bali kuna kundi kubwa nyuma yake ambalo ndo wanufaika wakubwa wa uongozi mbovu nchi hii. kumbukeni Kagoda, Deep Green, Meremeta, Mwanancho Gold et all.
 
Mrema kwa ujuha wake alishindwa kuifanyia kazi imani hii kubwa ya wananchi juu yake akawa anaharibu kila aendake ndo maana IKALA KWAKE

Sijapata kuona mwanasiasa mwerevu na mwenye hekima kama Dr. Slaa. Ni mtu anayeipenda Tanzania kwa moyo ndo maana hakupanga kugombea lakini alipoombwa alijitolea. Huyu ndiye Nyerere aliyemsema kwamba Ikulu haikimbiliwi ni mzigo. Lakini leo tunaona who is dying for IKULU. nakuambia Dr. Slaa asingeombwa kugombea wala asingejitokeza kamwe ila kwa kuwa tumemtaka achukue hatamu za kutuvusha hapa tulipo kwenda kwenye tanzania bora basi amekubali na anaifanya vyema kazi yake.

Sijapata kuona kwa mara ya kwanza kuona vyombo vya dola vikifanya kazi kwa maslahi ya watawala kama sasa. Siamini kwamba TISS wametumwa mikoani kwa ajili ya maslahi ya CCM. inaonesha nani ananufaika na watawala wabovu. sio viongozi peke yake bali kuna kundi kubwa nyuma yake ambalo ndo wanufaika wakubwa wa uongozi mbovu nchi hii. kumbukeni Kagoda, Deep Green, Meremeta, Mwanancho Gold et all.

Unafikiri kwa nini Zimbabwe waliingia kwenye matatizo? wanaofaidika na utawala wa kiimla ni wengi ndio hao ambao wanafanya kampeni kifamilia. Hivi nani aliyekifikisha Chama Cha Majambazi hapa kama sio JK?
 
Dk Willibrod Slaa amesema kuwa iwapo serikali ya CCM imejiandaa kwa ajili ya kuchakachua matokeo itachakachuliwa yenyewe kwa nguvu za umma.
 
CHaaaadeeeeeeeeema chaaaaaaaadeeeeeeeeeeemaaaaaaa nakupenda kwa MOYO wote. Silali nikikuwaza wewe. Nakwambia mwaka huu niwa kuwakomesha mafisadi.
 
Back
Top Bottom