Dr. Slaa ni mbabaishaji na hafai kuwa kiongozi ?

Licha ya kuchafulia na kubuniwa uwongo wa kila aina, ni wazi kuwa Dr Slaa amejipatia umaarufu mkubwa kisiasa. Anaonekana ni mtu asiyeteteleka katika kusimamia 'principles' zake. Kama anaamini haki haikutendeka ataendelea kuamini haki haikutendeka mapaka pale atakapoona inatendeka na si vinginevyo.

Msimamo kama huu ni muhimu sana na unatoa fundisho muhimu kwa watu vigeugeu. Kinachowavutia wananchi kumwamini Dr Slaa ni ushujaa wake - kutoogopa kuwa matatani wakati akitetea maslahi ya Watanzania. Najua Watanzania tulio wengi ni waoga na pia wanafiki na inapotokea mtu anajitoa kutetea maslahi ya wengi hata kama akinenwa vibaya na washindani wake anakuwa bado hajapoteza umaarufu wake.

Watu wote maarufu duniani walikutana na matatizo mengi sana ya kuundiwa uwongo na kilichowafanya waheshimiwe ni ule moyo wao wa kutoteteleka. Na hili ndilo linalonivutia hata kwa Dr Slaa. Baadhi ya watu wanasema akubali kushindwa - lakini Dr Slaa hajakataa kushindwa bali anachotaka kuonesha ni kwamba ili akubali kushindwa ni lazima ionekane ameshindwa kilalali na siyo ushindi unaotokana na udanganyifu na kupindisha matokeo. Mtu yeyote anayekubali kushindwa pale anapojua mbinu chafu zimetumika kumpata mshindi anakuwa anasaidia kuendeleza vitendo vya udanganyifu na kutotendeka kwa haki.

Naungana na Dr Slaa kutokubali matokeo ya udanganyifu na aenedelee kuyapinga ila kwa kutumia njia za amani (peaceful means). Tunachotaka Watanzania ni kujenga taifa la wawajibikaji na siyo la walaghai. Ulaghai usikubalike kabisa! Nampongeza Dr Slaa kwa msimamo wake na aendelee kutetea maslahi ya Watanzania na kuwafungua macho ili waone yale anaoyoyaamini na kuyasimamia - maendeleo ya Watanzania.
 
huyu jamaa aliyeleta hiyo thread ni wa jinsia gani?kama ni wakike anamtaka slaa na kama ni wa kiume basi hapo sijui kwa sababu hiyo ki2 anayotaka kumpadr sina uhakika kama anatumia maana ni m2 wa mungu yule.labda nimshauri huko ccm ndipo kuna wateja wengi wa hiyo kitu.
polekama inawasha sana.
 
1) Hakuna ushahidi wa kura kuibiwa (ndio maana nasema huu ni ubabaishaji na uzushi). Tatizo ni kwamba watanzania tunapenda sana majungu, uzushi, umbeya baseless. Just because he was met by big crowds in campagn meeting haimaanishi kuwa zile ni kura - Unajuaje watu walikuja kusikiliza anachosema alafu wameamua vinginevyo
2) Nani kasema ukisoma sana ndio unakuwa kiongozi mzuri - Going to school is necessary but not a sufficient condition/qualification kuwa kiongozi bora. Hata mimi nataka CCM waondoke lakini Dr. Slaa is using a wrong strategy - He is being overzealous about kuwa Raisi. Nimekuwa disappointed sana na huyu jamaa ana mambo ya kuiga. That is why I am taking this position.

Hapa ndipo washabiki hawa wa wakoloni weusi mnaponiacha hoi. Hivi inaingia kwenye akili ya nani kwamba kwa wapinzani watu wanaenda kusikiliza tu, wanasukuma gari na kushangilia halafu hawaendi kupiga kura? Hebu fanya utafiti kati ya watu waliompigia Dr na waliompigia hilo jambazi la uchakachuaji ni wepi kuna kundi la watu waliosoma na wenye uelewa?
Hizi ni propaganda zinazotumiwa kuhalalisha wizi wa kura. Ikumbukwe ukweli mwishoni mwa kampeni watu walokuwa wanaudhuri mikutano ya dokta walikuwa mara mbili au tatu au sawa na Kikwete kulingana na eneo.
Sisi wanamageuzi mwaka huu tumepiga kura hamuwezi kusema hatujapiga. Tumemchagua Dr NEC wakatuletea hicho KILAZA JK.

Hivi inaingia akili ya nani mtu aibe kura kwa makusudi halafu tuwashangilie? Hii inadhihirisha kuwa hawakutegemea itakuwa hivi walitegemea watachakachua kama siku zote na tukawashangilia tu. Kama dokta Slaa angeenda kumshika huyo mwizi mkono sisi wanamageuzi angetudisapoint make ingeonekana wanatuchezea makida.
Naheshimu mawazo yako lakini siyakubali. Dr Slaa yuko, hana papara na hamlambi mtu mguu kama hilo ndo ulitegemea halipo. Ndio maana watanzania wazalendo na wasomi tunamwamini.
 
acha upuuzi nalifikiri kuna jambo la maana na kutoka kwa mtu makini lakini si haba umeudhihirisha upuuzi wako zaidi kwa kusema dr slaa anatokea mbulu inaonyesha ulivyo nyuma katika siasa za tanzania je ulitaka dr slaa ashabihiane na mawazo yako ya kipumbavu na ya kinafiki hata mtoto mdogo anatambua hujuma aliyofanyiwa na ni kwa watu wapumbavu na wapuuzi tena waliojaa unafiki mkubwa wanaweza kulikubali hili ushauri wangu kaa chini ujifunze na uelimike zaidi au kama wamekutuma kuwasemea ukome kutumwa tumwa!
 
wapumbavu wakikutana kwenye upumbavu wao kitakachotokea ni taabu

umepata nini sasa?? huo ndio unazi, ungekua wa maana ungejibu hoja kwa hoja na sio kuita wenzio wapumbavu kisa unatafoatiana nao mtazamo..
use ur head bro, dis is JF home of Great Thinkers!!!
 
huyu jamaa aliyeleta hiyo thread ni wa jinsia gani?kama ni wakike anamtaka slaa na kama ni wa kiume basi hapo sijui kwa sababu hiyo ki2 anayotaka kumpadr sina uhakika kama anatumia maana ni m2 wa mungu yule.labda nimshauri huko ccm ndipo kuna wateja wengi wa hiyo kitu.
Polekama inawasha sana.

hopeless
 
Hapa ndipo washabiki hawa wa wakoloni weusi mnaponiacha hoi. Hivi inaingia kwenye akili ya nani kwamba kwa wapinzani watu wanaenda kusikiliza tu, wanasukuma gari na kushangilia halafu hawaendi kupiga kura? Hebu fanya utafiti kati ya watu waliompigia Dr na waliompigia hilo jambazi la uchakachuaji ni wepi kuna kundi la watu waliosoma na wenye uelewa?
Hizi ni propaganda zinazotumiwa kuhalalisha wizi wa kura. Ikumbukwe ukweli mwishoni mwa kampeni watu walokuwa wanaudhuri mikutano ya dokta walikuwa mara mbili au tatu au sawa na Kikwete kulingana na eneo.
Sisi wanamageuzi mwaka huu tumepiga kura hamuwezi kusema hatujapiga. Tumemchagua Dr NEC wakatuletea hicho KILAZA JK.

Hivi inaingia akili ya nani mtu aibe kura kwa makusudi halafu tuwashangilie? Hii inadhihirisha kuwa hawakutegemea itakuwa hivi walitegemea watachakachua kama siku zote na tukawashangilia tu. Kama dokta Slaa angeenda kumshika huyo mwizi mkono sisi wanamageuzi angetudisapoint make ingeonekana wanatuchezea makida.
Naheshimu mawazo yako lakini siyakubali. Dr Slaa yuko, hana papara na hamlambi mtu mguu kama hilo ndo ulitegemea halipo. Ndio maana watanzania wazalendo na wasomi tunamwamini.

KURA ZIPI zilizoibwa, u ppo, mbona mnashadadia mambo yasiyo na msingi, haitowezekana upinzani kuingia ikulu endapo haitajikita vijijini, na kuitaka Tume itoe elimu ya kutosha kwa wapiga kura, waTz tupo mil 40, rais anachaguliwa na watu mil 5, dis aint democracy, na PIA wingi wa wahudhuriaji kwenye kampeni sio ishara ya idadi ya watakaopiga kura, msifanye ule usemi wa "ARTIFICIAL EDUCATION IS NO MATCH FOR NATURAL STUPIDITY" utimie kwenu wanaJF, use ur head ppo, wake up, wengi wanaosapot upinzani si wapiga kura, cant u c dat!!
kam on ppo,
 
Naungana na wewe Bw.Magobe T,
Siku zote walio wachache ndio wanopata uwezo wa kuwatoa wengi wasio na uelewa au larama ya utambuzi.
Hivyo ndivyo nionavyo kwa Slaa na waTZ wengi wasio na elimu ya kutosha na utashi wa kisiasa/uraia.
Nionavyo mimi ni kwamba umaarufu wa Dr.Slaa umeongezeka maradufu,hata kwa maeneo ya vijijini-ninao ushahidi wa kutosha kutoka sehemu niliyopo mimi "Wilaya ya Kishapu-Shinyanga".
Wilaya ya mwisho kielimu TZ,watu wasijua kuongea Kiswahili ni wengi sana,na wale wasiojua kusoma na kuandika ndio usiseme.
Ajabu ni kwamba kuna vijiji ambavyo Dr.Slaa amempiga bao la mbali JK;nilishangaa sana kwani Dr.Slaa hajtembelea huko na wala hwajawahi kumuona-labda ktk TV(kwa wachache mno).
So,namuunga mkono Dr.Slaa kwani kukubali matokeo ukijua umeibiwa ni "UCAWARD!".Na mtu wa nmna hiyo kamwe hawezi kuwa kiongozi, na hakuja jina kubwa duniani lililowahi tokea likiwa na tabia hizo.
Thx!
 
If you think you are big tree we are small to cut you down.

DR.SLAA ni makini kuliko hoa mafisadi unaowanadi

huyu jamaa kama hajatumwa na ile 'list of shame' wanaomgwaya Dr SLAA atakuwa na mtindio wa ubongo! Hao ndo wasomi wa TZ ni makasuku ambao hata kutofautisha dhahabu na jiwe, tumekalia unafiki badala ya kuangalia mustakabali wa nchi!
 
Kweli juha anaweza kuweka thread. Hii ndo demokrasia. Mwanazuoni akisoma projo yako atashindwa kuelewa kuwa hata kwenye kutengeneza upuuzi,wapuuzi wanashindwa kuunda upuuzi. Hii inajidhihirisha pale mwandishi anapoanza kwa kusema: ...alianza kudhani kuwa dr s ni kiongozi imara,kumbe ni mbabaishi...alafu anasema tangu mwanzo alitofautiana na dr.ila alimkubali kwa sababu analeta changamoto kwenye Ccm. Huyu ana mawazo gani kama si kufikiria kwa kutumia utumbo badala ya ubongo?
 
KURA ZIPI zilizoibwa, u ppo, mbona mnashadadia mambo yasiyo na msingi, haitowezekana upinzani kuingia ikulu endapo haitajikita vijijini, na kuitaka Tume itoe elimu ya kutosha kwa wapiga kura, waTz tupo mil 40, rais anachaguliwa na watu mil 5, dis aint democracy, na PIA wingi wa wahudhuriaji kwenye kampeni sio ishara ya idadi ya watakaopiga kura, msifanye ule usemi wa "ARTIFICIAL EDUCATION IS NO MATCH FOR NATURAL STUPIDITY" utimie kwenu wanaJF, use ur head ppo, wake up, wengi wanaosapot upinzani si wapiga kura, cant u c dat!!
kam on ppo,

ndo tatzo la kuwa na secret ballot,mnasema wingi wa watu mkutanoni si wapiga kura,ina maana watu wanaenda kujifurahisha tu kwa kuungua jua,inaingia akilini? Mnaiba kura alaf mnasema watu wako si wapiga kura. Naona mnataka tuanzishe ile sisitemu ya kusimama nyuma ya mgombea ndo muone machungu ya mpiga kura?
 
BRAVOOOOO...Licha ya kuchafulia na kubuniwa uwongo wa kila aina, ni wazi kuwa Dr Slaa amejipatia umaarufu mkubwa kisiasa. Anaonekana ni mtu asiyeteteleka katika kusimamia 'principles' zake. Kama anaamini haki haikutendeka ataendelea kuamini haki haikutendeka mapaka pale atakapoona inatendeka na si vinginevyo.

Msimamo kama huu ni muhimu sana na unatoa fundisho muhimu kwa watu vigeugeu. Kinachowavutia wananchi kumwamini Dr Slaa ni ushujaa wake - kutoogopa kuwa matatani wakati akitetea maslahi ya Watanzania. Najua Watanzania tulio wengi ni waoga na pia wanafiki na inapotokea mtu anajitoa kutetea maslahi ya wengi hata kama akinenwa vibaya na washindani wake anakuwa bado hajapoteza umaarufu wake.

Watu wote maarufu duniani walikutana na matatizo mengi sana ya kuundiwa uwongo na kilichowafanya waheshimiwe ni ule moyo wao wa kutoteteleka. Na hili ndilo linalonivutia hata kwa Dr Slaa. Baadhi ya watu wanasema akubali kushindwa - lakini Dr Slaa hajakataa kushindwa bali anachotaka kuonesha ni kwamba ili akubali kushindwa ni lazima ionekane ameshindwa kilalali na siyo ushindi unaotokana na udanganyifu na kupindisha matokeo. Mtu yeyote anayekubali kushindwa pale anapojua mbinu chafu zimetumika kumpata mshindi anakuwa anasaidia kuendeleza vitendo vya udanganyifu na kutotendeka kwa haki.

Naungana na Dr Slaa kutokubali matokeo ya udanganyifu na aenedelee kuyapinga ila kwa kutumia njia za amani (peaceful means). Tunachotaka Watanzania ni kujenga taifa la wawajibikaji na siyo la walaghai. Ulaghai usikubalike kabisa! Nampongeza Dr Slaa kwa msimamo wake na aendelee kutetea maslahi ya Watanzania na kuwafungua macho ili waone yale anaoyoyaamini na kuyasimamia - maendeleo ya Watanzania.[/QUOTE]
 
Ni kweli kuwa ccm wamempa Dr. Slaa umaarufu mkubwa sana. Nina imani kuwa kila mahali atakapotembelea Dr. Slaa ndani ya Tanzania watu wengi sana wtakuwa na hamu ya kumuona na kumsikia. Vyombo vya usalama vitakuwa na kazi kubwa sana kudhibiti umati wa watu.
 
Nasikitika sana nchi yangu kuwa na watu wenye ufupi wa mawazo kama wewe... Kasome kwanza KATIBA ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na sheria ya uchaguzi ufahamu vinatoa mwanya gani kwa Dr. Slaa kufanya nini na wakati gani.

Usipende kushambulia watu kwa maneno makali bila kuwa na evidence, NAKUPA HOMEWORK, HEBU TUPE WANA JF KUWA UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI KUPATA HAKI YAKO
 
Ninaadika kwa masikitiko kwasababu mwanzoni nilikuwa nadhani Dr. Slaa ni kiongozi imara, nimegundua kuwa kumbe ni mbabaishaji na anajiharibia kazi yote aliyo ifanya katika kampeni yake. Nilikuwa sikubaliani na sera zake lakini niliona kuwa anakitiia changamoto CCM.

Lakini kwa haya anayo yafanya na kuongea sasa baada ya matokeo inanibidi nibadili muono nilio kuwa nao kwake. Dr. Slaa ana mawazo mufilisi na uchu wa uongozi ndio maana ana lalama kuonewa. Waswahili walisema kuwa asiyekubali kushindwa si mshindani. Katika uwanja wa siasa, au mahali popote huwezi kutoa malalamiko ya uzushi uzushi tu.

Kura zote zimehesabiwa palepale jimboni na mbele ya wakala wake. Kuna wakala aliye dhihirisha kuwa kura zake zimeibiwa ?

Kwa fikira zake inadhihirisha kuwa Dr. Slaa ni mtu hatari sana na anaonyesha haja wiva kimawazo na anaeta siasa na kuigaiga (toka nchi zajirani) na kuropoka kama vile Lyatonga Mrema alivyo jipotezea umaarufu wake nchini (sikuhizi Lyatonga ni kama "The Comedy " Nobody takes him serious. Dr. Slaa anajiharibia hata sisi wengine tulio mpigia kura tunasikitika. Ninajuta kumpa kura yangu na itabidi hawa wagombea wanao jichomoza chomoza kuwa angalia sana.

Hivi Dr. Slaa alikuwa amechanjia kwamba mwaka huu lazima awe raisi wa jamuhuri ya Tanzania ? Hata kama kura alizopigiwa hazitoshi ? Ni kiumbe gani huyu, alafu eti alikuwa awe raisi ? Sasa hebu imagine mtu kama huyu alivyo na uchu awe raisi... it will be worse than what we complain of what CCM is doing

Mungu ashukuriwe na sala za kuiombea nchi yetu ziendelee kila siku. Tumeepukana na janga la watu kama Dr. Slaa.

Hii inadhihirisha kuwa upinzani unayo kazi kubwa ya kufanya ili kuaminika na wananchi. Jimbo la Mbulu kwenyewe anakotoka Slaa hakupata kura zote, wamegawana na JK. Inaonyesha hata watu jimboni kwake wasivyo muamini.


Mungu ibariki Tanzania

Umesema kweli> Upo makini sana. DR SLAA HAFAIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!t tena MZUSHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!
 
Hakuna ushahidi wa kura kuibiwa (ndio maana nasema huu ni ubabaishaji na uzushi). Tatizo ni kwamba watanzania tunapenda sana majungu, uzushi, umbeya baseless. Just because he was met by big crowds in campagn meeting haimaanishi kuwa zile ni kura - Unajuaje watu walikuja kusikiliza anachosema alafu wameamua vinginevyo
2) Nani kasema ukisoma sana ndio unakuwa kiongozi mzuri - Going to school is necessary but not a sufficient condition/qualification kuwa kiongozi bora. Hata mimi nataka CCM waondoke lakini Dr. Slaa is using a wrong strategy - He is being overzealous about kuwa Raisi. Nimekuwa disappointed sana na huyu jamaa ana mambo ya kuiga. That is why I am taking this position.

HAYA NI MAONI YAKO VENIVIDIVICI



Maoni yako hayana maana usomi si lazima uwe na degree nyingi nakubaliana lakini Kikwete pamoja na shahada yake akiongea au kutoa tathimini ya jambo utafikiri darasa la saba aliyeingia kwenye mfumo wa chama siku nyingi akapata uzoefu wa kuongoza ili ijue jamaa ni bogus hafai kuwa rais isipokuwa waziri wa michezo na utamaduni kama Professor Lipumba livyowahi kusema ni pale alipokua Marekani rais Obama akamuuliza kwa nini Tanzania pamoja na kuwa raslimali nyingi na amani lakini haijaendelea unaweza kutaja sababu? Kikwete akajibu kuwa hajui sababu zinazofanya Tanzania kuwa masikini unaona hiklo jibu kama hajui sababu za Tanzania kuwa masikini kwanini anagombea Urais?
 
Umaarufu wake umeongezeka pia via tembea tembea yake maeneo tofauti tofauti na watu kumsikia akimwaga sera ambazo watanzania walikuwa wakitaka zisikia
 
I was thinking, now i am sure that this person is UNIQUE. No hero on earth has gone without ups and downs from his/her own people! Take Mzee Mandela, Prof. Mwl. Nyerere, etc.....

One thing i am sure is that he is a pure human being. i.e. he has his weaknesses, he feels angry and hungry, he becomes happy and smiles, he shall one day die like me and you. One thing unique with this person is that he is someone you can TRUST. Iam also sure that, not many people from either CCM or CHADEMA can be compared with W.P.Slaa, Dr.
 
I am back again on this thread.

I have said and I'm saying once again, Veni Vidi Vici, the author of this thread is a pro-CCM gay!
Veni Vidi Vici's IQ is equivalent to that of a chicken. He is against Dr.Slaa that's why he/she is talking rubbish and inept ideas. Hebu rejea maneno yake anaposema ati Dr. Slaa anatokea jimbo la Mbulu na kwamba wapiga kura wake wamemnyima kura na hakuna wizi wowote wa kura uliofanyika!!!!!!!!!!!!!!Ni uongo wa mchana kweupe. Wizi wakura si swala la kupuuza,liko wazi na CCM wanajua hilo kuwa KURA ZA CHADEMA wameziiba. Hili linahitaji muda tu. Time will Tell one day. Mnakumbuka Kashfa ya Watergate?

Hivi nani nchi hii alijua kuna UFISADI WA EPA,The RADAR SCANDAL,KAGODA,DEEP GREEN,MEREMETA etc,etc? CCM subirini tu, tupeni muda kidogo,mambo yatawekwa hadharani ndipo kutakapokuwa KULIA NA KUSAGA MENO! Nahofia huenda KIWETE wenu ikamgharimu kujiuzulu au kuvunja tena Baraza la Mawaziri kama ilivotokea kwenye awamu yake ya 1!One of these days everything shall be revelead, NO STONE SHALL BE LEFT UNTURNED!
 
Back
Top Bottom