Gwota
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 205
- 92
Harakati za ukombozi wa kweli wa Tanzania yetu unazidi kushika kasi katika kubomoa ngome mbalimbali za CCM na sasa ni zamu ya chuo kikuu mzumbe.
Dr. Slaa pamoja na wenzake watakuwepo hapa chuoni kufungua tawi la wanachuo wa CHADEMA. Ikumbukwe kuwa kwa miaka mingi Mzumbe imekuwa ni ngome mahiri na ya kutegemewa na Chama cha mapinduzi.
Uzinduzi utaanza saa nne asubuhi katika viwanja vya Changarawe nje kidogo ya chuo.
Tutakuwa tunawahabarisha kitakachokuwa kinajiri siku yenyewe.
Peoples power!!!!!!!!!!!!!
Dr. Slaa pamoja na wenzake watakuwepo hapa chuoni kufungua tawi la wanachuo wa CHADEMA. Ikumbukwe kuwa kwa miaka mingi Mzumbe imekuwa ni ngome mahiri na ya kutegemewa na Chama cha mapinduzi.
Uzinduzi utaanza saa nne asubuhi katika viwanja vya Changarawe nje kidogo ya chuo.
Tutakuwa tunawahabarisha kitakachokuwa kinajiri siku yenyewe.
Peoples power!!!!!!!!!!!!!